Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kamaa hali ndioo hii
Mil 50
30M mnabaki Nazo ATI promo
Nashauri serikali iamuru washindii WOTE waliopita WA BSS WAPEWE MIL 30 ZAO NDIPO mashindanoo yaendelee
Atakuwa busaraa kama huyu analipwa cash na waliopita waachwe
Hahaa mashindano yamekuwa na uhuni mwingi sana sana nahisii yamefikia tamatii
Wahusika wote walioshinda wapewe mil 30 walizowaibia wakidai za Promotion
Mil 50
30M mnabaki Nazo ATI promo
Nashauri serikali iamuru washindii WOTE waliopita WA BSS WAPEWE MIL 30 ZAO NDIPO mashindanoo yaendelee
Atakuwa busaraa kama huyu analipwa cash na waliopita waachwe
Hahaa mashindano yamekuwa na uhuni mwingi sana sana nahisii yamefikia tamatii
Wahusika wote walioshinda wapewe mil 30 walizowaibia wakidai za Promotion