MJUMBE WA AMANI
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 262
- 238
- Thread starter
-
- #21
Hahahahaa...usijali mkuu, kuna mengi sana ya kujifunza kuhusu hii forum, ila kidogo kidogo tutafika tu.mh,
napata picha we si mgogo, mi ni mtaturo wa tabora. ushirikiano wangu umeupata labda uninyime wako. nini kungine unapendelea toka kwa mwenyeji wako.
Unajua UKUTA mgeni wetu?Hahahahaa...usijali mkuu, kuna mengi sana ya kujifunza kuhusu hii forum, ila kidogo kidogo tutafika tu.
Hahahahaaa...so funy, yeah nina clue na UKUTA ila to be honest nimecheka sana.Unajua UKUTA mgeni wetu?
kama mwenyeji wako najitolea kushughulikia kitambulisho chako cha jf, ningependa kufahamu kama hiyo picha kwenye avatar ni yako na tuitumie hiyo au una nyingine?Hahahahaa...usijali mkuu, kuna mengi sana ya kujifunza kuhusu hii forum, ila kidogo kidogo tutafika tu.
Kumbe unaujua, safi sana!! Ni jadi yetu/yangu kumfurahisha mgen, BTW humu kuna kila kitu...mazuri mabaya....kucheka ...kupata stress(hahahaha dont be affraid, hii ni kama utakua unatembelea jukwa la politics)....inshort we have everything!!! Be free, and Mostly Welcome at JF!!!Hahahahaaa...so funy, yeah nina clue na UKUTA ila to be honest nimecheka sana.
Kuna habari ya vitambulisho? ndo vipoje hivyo?kama mwenyeji wako najitolea kushughulikia kitambulisho chako cha jf, ningependa kufahamu kama hiyo picha kwenye avatar ni yako na tuitumie hiyo au una nyingine?
Yeah its good thing to be informed,...kila kitu ni kama siku, it has got its bright and dark sides, I knew that...Endelea kutuongezea siku za kuishi mkuu ila uwe makini na mbavu zetu.Kumbe unaujua, safi sana!! Ni jadi yetu/yangu kumfurahisha mgen, BTW humu kuna kila kitu...mazuri mabaya....kucheka ...kupata stress(hahahaha dont be affraid, hii ni kama utakua unatembelea jukwa la politics)....inshort we have everything!!! Be free, and Mostly Welcome at JF!!!
vipo kwa ngazi na madaraja mbalimbali nitakutengenezea cha verified gold member hapo inabidi uweke picha yako halisi ndio maana nikakuuliza hiyo avatar ni picha yako kama sio, sio kesi kesho ibadilishe weka yako ili nifuatilie hiyo kitu.Kuna habari ya vitambulisho? ndo vipoje hivyo?
Karibu sana MJUMBE WA AMANIHabari zenu wadau na washirika wa jf? mimi Mjumbe wa Amani ninayo furaha kubwa kujiunga nanyi, baada ya kutumia jf kama mgeni leo nimeona nijiunge na kuwa member.Nimefurahishwa na kila kinachoendelea hapa jf na ndiyo sababu ya kuamua kujiunga nanyi.Nina imani kubwa kwa ushirikiano wenu.
Unakujua lakini huko PM??Asante mkuu...nashukuru sana kwa ukaribisho wenu.
Asante sana mkuu...kwa ukaribisho?Karibu sana MJUMBE WA AMANI
Habari zenu wadau na washirika wa jf? mimi Mjumbe wa Amani ninayo furaha kubwa kujiunga nanyi, baada ya kutumia jf kama mgeni leo nimeona nijiunge na kuwa member.Nimefurahishwa na kila kinachoendelea hapa jf na ndiyo sababu ya kuamua kujiunga nanyi.Nina imani kubwa kwa ushirikiano wenu.
Mbona alama ya kuuliza tena?Asante sana mkuu...kwa ukaribisho?
Hahahaaa...anyday mkuu.Unakujua lakini huko PM??
Ooops...hiyo ni typing error, nadhani nilinuia kuweka nukta mwishoni.Mbona alama ya kuuliza tena?
Noted...!Ooops...hiyo ni typing error, nadhani nilinuia kuweka nukta mwishoni.
OK karibuHahahaaa...anyday mkuu.
Asante sana mkuu,...ila bandiko lako sijalielewa lina maanisha nini.Karibu sana MwA, ujisikie uko nyumb Kuna addiction hapa mahali ya namna fulani halafu ukiona hata Serikali inajaribu kani.upiga vita JF basi ujue kuna kitu ambacho kinafanywa vizuri hapa mpaka kuiudhi Serikali.