Mrembo wa ukweli lazima awe P.H.A.T
¤Mademu wetu wa kibongo movie shape hawana kabisa,mitambi hiyo kama wana mimba za mapacha,kazi kushinda bar kula kitimoto,michemsho,beer,nyama choma,chips yai,hawana mda wa kwenda gym kuweka tumbo flat.
¤Mademu wetu wa bongo Maziwa kama wanatenda jeshini,maziwa mwajuma ndala ndefu anakaa,bila bra triple D hawawezi kutoka,miziwa utafikiri wanajianda kujiunga mashauzi classic.
¤Mademu wetu wa bongo movie mikorogo na michirizi utafikiri ngozi ya kenge,mvuto F,mwilini silicon tupu kutafuta neema za allah na maaga.
Mademu warembo wapo state,ebu mchecki christina Millian kwenye movie ya Love dont cost a thing,ebu mcheck monica arnold,ebu mcheck meagan good,ebu mcheck yule demu aliyekuwa na fabolous amevaa jezi ya blue akiwa na viatu vya matairi trade it all video hao ndio warembo,sio hao mabibi bomba...Lulu ana miaka 19 lakini akikaa na meagan good lulu anaonekana mzee.