Wasichana 5 bora wanaoongoza kwa uzuri Bongo Movie

Weweeeee nenda kaleeew watoto huko, usisumbuke na mimi, au huna cha kufanya, we ni mzeee jikubali

kazi kweli na hizi mulugo umeulizwa swali jibu...sio unaanza personal attack ungesema hao sio wazuri sio wana watoto pyeeeee mamako kukuzaa wewe kawa mbaya???
 
kazi kweli na hizi mulugo umeulizwa swali jibu...sio unaanza personal attack ungesema hao sio wazuri sio wana watoto pyeeeee mamako kukuzaa wewe kawa mbaya???

Hayo yooote yanakutoka kwa kuambiwa umezeeeka?!!! basi we ni mtoto wa miezi mitatu. Km inamsaaada, maaan watu kujikubali hamtaki
 
Wekeni picha coz wengine hatuwajui kama wema namuona kwenye magazeti na lulu pia,sijawai ona vizur coz siangaliangi bongo movie coz zipo kama maigizo vile mi na penda za mbele sana
Sasa naomba mniwekee picha na mm nichangie nione watoto wakibongo jaman plz
 
Kuna watu wakisema warudi kwenye tasnia ya filamu.....asilimia kubwa ya wadada wa bongo movies tunawaset aside!
Hivi unamkumbuka Lucy Peter wa kwenye The Lost Twins???? Veeeeeery beautiful!
Sijui siku hizi yuko wapi huyo binti

i know the girl,
ni lucky peter
she is cute na anaweza then alianza na mr tues kwenye jumba la dhahabu yule alikua anaitwa mikala
 

Nitakuja baadaye na list yangu.
 

Tusipende kutukuza vya magharibi tuwaze kibongobongo!
 
i know the girl,
ni lucky peter
she is cute na anaweza then alianza na mr tues kwenye jumba la dhahabu yule alikua anaitwa mikala

Halafu sijui yuko wapi siku izi,alikuwa anajisikia huyo, aliwahi kuitwa na joyce kiria kipindi kile anatangaza movie demu akakataa kufanyiwa enterview, she is cute kind of lulu type, kalikuwa kanaishi mikocheni, ni ka kishua ila sina uhakika kama yupo bongo sasa ivi
 

Hata wewe binamu yetu hujui alipo?
Sasa tutapata wapi info! Lol

Labda tujaribu kwa Heaven on Earth
 
Last edited by a moderator:
sana anajidai huyu dada hadi alikua anabore
 

Hapo mzuri ni wellu sengo tu peke yake hizo zingine ni used
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…