Wasichana huchagua wenza wao mapema

Wasichana huchagua wenza wao mapema

Wanakuja JF au wanajazana kwa mwamposa au nabii Enock pale Tangibovu tena jana nilipanda daladala walikuwa wengi wametoka kwa mwamposa
Ukiangalia vizuri ni wa sampuli gani? Hasa hao wanaokwenda kwa 'manabii'
 
Habari za Eid pili wandugu
Kama kawaida yangu ninapitulia ndipo jambo hunijia kama hivi halafu natafuta pakukitolea.

Nimekumbuka tu mbali kidogo miaka hiyo ya ubarubaru. Kipindi ambacho kwa bahati mbaya vijana wa kiume hukitumia ndivyo sivyo, pengine ni kwa kukosa misingi thabiti toka kwa jamii inayowazunguka.

Miaka ya 27 hadi 32 kwa vijana wa kike na wa kiume. Katika umri huu ni vijana wa kike ndio aghalabu huwa na focus ya maisha. Pengine huwa wamepevuka zaidi kuliko wa kiume.

Ni kipindi hiki ambapo vijana wa kike (wasichana) huchagua wanaume wa ndoto zao kwa maana ya kujenga maisha na familia. Huwa haitokei bahati mbaya ila wao kwa muda wao hufanya chunguzi zao na muda ukifika wewe kijana wa kiume uliyetunukiwa chaguo hilo utaona baadhi ya dalili na ishara.

Hapa naomba niweke bayana. Naongelea zaidi vijana wale ambao 'umande' kwao ulikuwa rafiki. Wale wengine hata miaka 18, 22 poa tu.

Dalili na ishara hizi hawa wanaume huziona bayana, tatizo linakuja, aidha hajamalizana na viruka njia au anaona huyo binti sio sahihi kwake. Tatizo la tatu huwa ni kipato. Hili la kipato likae pending kwanza.

Nasema haya kwa kuwa nimepita huko. Kama kuna makosa vijana wa kiume hufanya, ni kipindi hiki. Mwanamke aliyekuchagua kati ya wengi ndiye alipaswa kuwa mke wako. Bahati mbaya huwa tunawapuuzia na kwenda kuwatafuta wale wa vigezo vyetu.

Nawaasa vijana wa kiume. Mwanamke anayekuchagua kati ya wengi huyo mpe nafasi
Yaaan mtoa mada uko sahihi, ila kwa kipindi hiki cha vijana wa sasa wanawake wengi wakikuchagua uje kuna mambo kadhaa:-

1-Inawezekana upo sawa financially
2-Una nafasi nzuri katika jamii
3-Msanii wa muziki/maigizo, kila siku upo huko kwenye social media.
4-Unakaribia kustaafu, wapige kiinua mgongo.

Yaani pesa mbele kama tai siku hizi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Changamoto saNa,
sema mi naona wanajifanyia mazingaombwe (ILLusION) wenyewe.

Ni kwamba,
Wanaume wanaoenda kuwatafuta uko makinisani,
Ndo hao hao wanaume walionao uko mitaani, wanaowasimamisha kuwaomba namba wanawalingia na kuwakataa.

Sema tu Uko makanisani,
wanatafuta justification tu za kiroho kwa kuzidanganya nafsi zao kua hao Ni wanaume bora waliotoka kwa bwana.
Wengine tunaonekana wa motoni kumbe ni wema sana na akili nyingi sana sema financial ndo hatuko sawa...
Ila yote maisha wacha watudharau hakuna haja ya kusujudiana
 
Changamoto saNa,
sema mi naona wanajifanyia mazingaombwe (ILLusION) wenyewe.

Ni kwamba,
Wanaume wanaoenda kuwatafuta uko makinisani,
Ndo hao hao wanaume walionao uko mitaani, wanaowasimamisha kuwaomba namba wanawalingia na kuwakataa.

Sema tu Uko makanisani,
wanatafuta justification tu za kiroho kwa kuzidanganya nafsi zao kua hao Ni wanaume bora waliotoka kwa bwana.
Ni heri akatae toa namba

Mabinti Siku hz wana background mbaya mno, wazazi wanasema binti mchafu sana yule"
 
Pole mkuu na mm nilikumbana na kisa kama chako.
Niliachwa baada ya mwezi akarudi kuomba msamaha, swali la kwanza akauliza kwani ww utafanya nn baadae (sasa n mwanachuo). Na mm nikamwambia hatutawezani papo kwa papo.

Siku hz n wavivu sana
Wengine tunaonekana wa motoni kumbe ni wema sana na akili nyingi sana sema financial ndo hatuko sawa...
Ila yote maisha wacha watudharau hakuna haja ya kusujudiana
 
Wengine tunaonekana wa motoni kumbe ni wema sana na akili nyingi sana sema financial ndo hatuko sawa...
Ila yote maisha wacha watudharau hakuna haja ya kusujudiana
Sasa inashindikana nini kugeuza hiyo akili kuwa hela? U inashindikana nini kutumia akili hiyo kummiliki?
 
Sasa inashindikana nini kugeuza hiyo akili kuwa hela? U inashindikana nini kutumia akili hiyo kummiliki?
Mawazo hayo mnayo ninyi pekee motivation speaker huku kwa ground bado mambo ni moto tunapambana sio mchezo..
 
Back
Top Bottom