Wasichana: Jisafisheni miili yenu mnatia aibu

Wasichana: Jisafisheni miili yenu mnatia aibu

Asante kwa ujumbe!!!
Ila usafi ni kwa wote... Tunakutana na wanaume majalala pia!!! Wengine hawajui kabisa kujisafisha nyuma!!!
Na huko nyuma kwa wanaume huwa unafuata nini hadi ujue kuwa kuna harufu flani? Aaaargh, hii dunia ya sasa inanichanganya sana![emoji72]
 
Nadhani boys/men wenzangu mtakua shahidi kwa haya mambo juu ya hawa wasicha.

>> Unakuta msicha kajipamba kapambika/ Kajiremba karembeka boy unamtokea unavuta mzigo getoni, baada ya kutaka kuanza ligi ndogo sasa duuh!!! Unakuta kule in the earth crust/wizara ya mariasili na utalii bin papuchilo panatoa harufu zaidi ya choo cha stendi ya huku kwetu kolomije. Au unakuta magma/ ujiuji fulani kama mtoto katapikia.

>> msichana unamkuta ana meno meupe kuliko hata ya nyau na tu lips twa kuvutia kunywa kile kinywaji pendwa lakini mdomo unatoa harufu mbaya kama kaficha pedi ya mtoto ndani au katafuna kinyesi.

>> Msichana mrembo lakini sasa ukimkagua masikioni unakuta sikio lipo kama mzinga wa asali, uchafu uchafu ukipakua unajaza magaloni.

>> Unakuta msichana mrembo lakini sasa ana Ampit hair kama nywele zangu za kichwani. Muwe mnanyoa banaaa.

>> Msichana unakuta ana pabic hair kwenye wizara ya maliasili na utalii kama ndevu za Osama basi unakuta bajaji na Teksi (kunguni na chawa) zimejazana huko utadhani vitanda vya gesti zetu huku Ntatilyabashashi.

{> Binti unamkuta miguu imempasuka kama matuta ya viazi mbatata hata akikukanyaga anakuachia Tatooo.

>> Msichana unakuta ana nywele za mapuani kama babu kifimbo cheza na hata aibu hana.

>> msichana muda wote yy anatongo tongo kama kifaranga cha ndege na hata hazitoi sijui hua mnazila.

Daah wasichana mnaboa sana jirekebiseheni bwanaaaa.
Kama Boys mlishawahi kukutana na hivyo vitu kwa msichana yoyote Gonga like mazee.

Wasichana povu ruksa kutoa hata la gwanji poa tu.
By Mwenyeji kutoka Twitter na Fesibuku.
Van Ray van Boy mtu mbaya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu una ugomvi nao au
 
Hawa ambao wako hivyo wengi ni wale wenye muonekano mzuri wa nje,mimi harufu tu ya prawns jamani inanikera,wale wazuri papuchi ziko kama ferry soko la samaki ukiwavua pichu,sijui wenyewe wanasema ukiosha sana unapata cancer basi akivua pichu utadhani ni soksi au viatu vinanuka,swali ni,hivi wakikuvulia huwa hawajui wanatoa hyo harufu au wao wameizowea?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bila Shaka ni kavulana ndo kamebarehe kanakimbizana na mahousegirl wa watu ndo anakuja kulialia hapa,

Dogo kama huwezi kumhudumia mpenzi wako unafikiri atapendeza vipi mwili wa mwanamke gharama unatunzwa kama yai
Kwel kabisa nakuunga mkono
 
Hahahaha we jamaa yan kama hayo uliyoandika ndounayoyauna unaroho ngumu maana maandishi tu yanatia kinyaa
 
Mleta uzi,umenikumbusha mbali sana .kuna cku nilikuwa na appointment na dem lodge alipovua nguo had niliogopa demu alikuwa anatoa haruku ktk k hataree ikabidi nizuge napokea xim naitwa ofcn kuna dharura .....nikamwambia baby nitarud nimeitwa ofcn.baada ya miez miwili nikaonana nae njian aliona aibu had nilijishtukia aiseeeeee
 
Wanaijua gwanji kweli???
Hasa wanaojiita wa Dar???.
Ukitumia Gwanji kusugulia masufuria yanang'aa sijawahi ona.
Na stiliwaya lakini
 
Wanaijua gwanji kweli???
Hasa wanaojiita wa Dar???.
Ukitumia Gwanji kusugulia masufuria yanang'aa sijawahi ona.
Na stiliwaya lakini
Mkuu hivi unatokea kule zinapotengenezwa eeeh
I mean wanapo lima michikikichi eeh
 
Hivi nywele za kifuani na miguuni kwa wanaume zinaruhusiwa kunyolewa?

Swali jingine ,huwa nikiangalia movie au videos za wasanii wa kiume USA na Ulaya wengi hawanyoi makwapa kwao ni fasheni au?
 
Nadhani boys/men wenzangu mtakua shahidi kwa haya mambo juu ya hawa wasicha.

>> Unakuta msicha kajipamba kapambika/ Kajiremba karembeka boy unamtokea unavuta mzigo getoni, baada ya kutaka kuanza ligi ndogo sasa duuh!!! Unakuta kule in the earth crust/wizara ya mariasili na utalii bin papuchilo panatoa harufu zaidi ya choo cha stendi ya huku kwetu kolomije. Au unakuta magma/ ujiuji fulani kama mtoto katapikia.

>> msichana unamkuta ana meno meupe kuliko hata ya nyau na tu lips twa kuvutia kunywa kile kinywaji pendwa lakini mdomo unatoa harufu mbaya kama kaficha pedi ya mtoto ndani au katafuna kinyesi.

>> Msichana mrembo lakini sasa ukimkagua masikioni unakuta sikio lipo kama mzinga wa asali, uchafu uchafu ukipakua unajaza magaloni.

>> Unakuta msichana mrembo lakini sasa ana Ampit hair kama nywele zangu za kichwani. Muwe mnanyoa banaaa.

>> Msichana unakuta ana pabic hair kwenye wizara ya maliasili na utalii kama ndevu za Osama basi unakuta bajaji na Teksi (kunguni na chawa) zimejazana huko utadhani vitanda vya gesti zetu huku Ntatilyabashashi.

{> Binti unamkuta miguu imempasuka kama matuta ya viazi mbatata hata akikukanyaga anakuachia Tatooo.

>> Msichana unakuta ana nywele za mapuani kama babu kifimbo cheza na hata aibu hana.

>> msichana muda wote yy anatongo tongo kama kifaranga cha ndege na hata hazitoi sijui hua mnazila.

Daah wasichana mnaboa sana jirekebiseheni bwanaaaa.
Kama Boys mlishawahi kukutana na hivyo vitu kwa msichana yoyote Gonga like mazee.

Wasichana povu ruksa kutoa hata la gwanji poa tu.
By Mwenyeji kutoka Twitter na Fesibuku.
Van Ray van Boy mtu mbaya


Hao ndiyo wasichna wa Dar, machoni wana mvuto kwenye ligi ndogo watakutapisha kabla ya mechi kuanza na kupewa kadi nyekundu.
 
Hivi nywele za kifuani na miguuni kwa wanaume zinaruhusiwa kunyolewa?

Swali jingine ,huwa nikiangalia movie au videos za wasanii wa kiume USA na Ulaya wengi hawanyoi makwapa kwao ni fasheni au?


Usipende kuiga vitu vya nje....we kama unanyoa mavuzi na nywele za kwapa nyoa tu kwa starehe zako.
 
Back
Top Bottom