Wasichana: Jisafisheni miili yenu mnatia aibu

Wasichana: Jisafisheni miili yenu mnatia aibu

afadhali umeongelea wasichana ... wanawake tupo tofauti
Akwende kwa wanawake sio wasichana
Usikute ndo wanaoharibu mabinti zetu hawa
Baba mzima unaanzaje kumtongoza msichana hebu mwambie asitutie aibu wanaume wenzie [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Asante kwa ujumbe!!!
Ila usafi ni kwa wote... Tunakutana na wanaume majalala pia!!! Wengine hawajui kabisa kujisafisha nyuma!!!
Ati! Hawajui kujisafisha nyuma????? Kumbe hua mnatuchungulia, unaanzaje kua nyuma ya mwanaume. Au ndio anakwambia uingize mavidole?????
 
Mwanamke mchafu unamsafisha wewe!
Hata ww ukiwa mchafu mwanamke wako atakusafisha!
Mwanammke akija gheto na hairy zake za sehemu ya siri hajanyoa ninamvuta bafuni namnyoa!
Ukifanya hivyo atajua kama mm sipendi hayo manywele,kama hajaoga namuogesha
Wanawake waheshimiwe jamani bila wao hapa duniani ingekuwa hamna maana ya kuishi
 
Mwanamke mchafu unamsafisha wewe!
Hata ww ukiwa mchafu mwanamke wako atakusafisha!
Mwanammke akija gheto na hairy zake za sehemu ya siri hajanyoa ninamvuta bafuni namnyoa!
Ukifanya hivyo atajua kama mm sipendi hayo manywele,kama hajaoga namuogesha
Wanawake waheshimiwe jamani bila wao hapa duniani ingekuwa hamna maana ya kuishi
Mkuu kweli bila wao ingekua hamna namna ya kuishi
 
Back
Top Bottom