King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
bila picha hii mada haiendi
Imekuwa ni hali ya kawaida kwa baadhi ya dada zetu kuvaa nguo zisizo na maadili.
Je hii ni kwaajili ya kutafuta soko au fasheni. Na je wazazi wako na ndugu zako wanakuchukuliaje, na wewe mwanaume ambaye upo kwenye mahusiano unajionaje mwezi wa anavyovaa nusu utupu?
1.Show off their morphology(99%)
Basi sawa
Mi nahisi wanata kurudi kama ilivyokua enzi za adamu na hawa kabla hawajala tunda. Si nasikia walikua hawajavaa kitu?
Ila aisee niseme ukweli mimi hata wakivaa ma baibui, kichwa ikiwa idle natamani tu. Tena ndio imagination inakua noma. Actually nahitaji maombi kabisa!
Joto........
naww umo?!! Christine