Wasichana Punguzeni Kucha

Wasichana Punguzeni Kucha

Maskio ntaongeza vitobo tu vya kuvalia hereni,afu nataka nitoboe pua pia. Kwa masonara tungeenda j2 ili tukanunue na karolaiti

lazima twende na wakati mkwe hata kama tushazeeka. usisahau na zile nywele za rihanna.
 
Nyingi ni za kununua siku hizi, kwa hivyo kama zinakukera mwambie aziweke pembeni kwanza

yaani azivue kama wigi au nguo, sio! azivae zinakohitajika si barabarani naona wadau wenyewe
hawapendi!
 
Wengine wanadai huwa zinatumika katika mambo ya ukubwa yale. Iwapo ni hivo ingefaa ziwepo za bandia ili zitumike tu wakati huo maalumu ili kupunguza kuparua watu ambao hata haziwahusu.
 
ukiona mwanamke ana kucha za asili ndefu katika vidole basi wala usijaribu kumuomba game maana utajuta. hao huwa hawasafishi kule kwenye urithi wa bibi maana zile kucha huwezi kuziingiza ndani, matokeo yake wakati wa shughuli unashangaa harufu kali na ya ajabu sana inatoka na unaweza hata kutapika na shughuli ikaishia bao moja tu. hasa wasichana warembo sanaaa ndo wenye matatizo hayo. don't try them
 
Nawashanga sana wakina dada wanaofuga kucha... Mnatawadhaje???
 
unashangaa kucha! watu wanafuga vuzi hadi linatia chawa sembuse kucha?! mjini kuna mambo kaka
 
Nawashanga sana wakina dada wanaofuga kucha... Mnatawadhaje???

hilo nalo neno!!! ndio maana mmoja kassema hataki chakula kilichopikwa na mtu mwenye kucha ndefu, ni uchafu kwa kweli
 
ukiona mwanamke ana kucha za asili ndefu katika vidole basi wala usijaribu kumuomba game maana utajuta. hao huwa hawasafishi kule kwenye urithi wa bibi maana zile kucha huwezi kuziingiza ndani, matokeo yake wakati wa shughuli unashangaa harufu kali na ya ajabu sana inatoka na unaweza hata kutapika na shughuli ikaishia bao moja tu. hasa wasichana warembo sanaaa ndo wenye matatizo hayo. don't try them

Hamna ukweli zaidi ya huu. Nadhani wengi tumeelimishwa, labda waje wasichana ambao ndo wahusika wakanushe.
 
Afazali umewaambia, yanauzi ajabu, yaani katikati ya kiduku limama mzuka unampanda linarusha makucha mpaka unajiuliza unafanya tendo la ndoa na binadamu au kenge?

Mood: hapa nimeongea kwa hasira kidogo

Hahahahaha lol! Nimecheka sana 🙂🙂 Mkuu Kloroquin inaelekea ulishaparurwa 🙂🙂 wakati unananihii 🙂🙂 sijui sehemu zipi za mwili 🙂🙂 ila nahisi ilikuwa ni mgongoni 🙂🙂 na hukupenda shambulizi hilo hata kidogo lol!
 
Kwa kweli kucha ndefu inapunguza ladha ya mazungumzo ya jioni, maana kuna baadhi ya mashiko yanakua ni kuparuzana
kisha kuna mtu amezunguzia suala la usafi baada ya call of nature. Nafikiri kucha ndefu ni tatizo pia
najua ziko za bandia ambazo zinaweza kuvaliwa wakati fulani sio kila wakati
 
mhhhh, naona tumehama kwenye mada na watu wameanza kutandika zile story wenyewe mnaziita gir.....y story!
 
macho unaaweka mbon
kope ubanandka
****** na hps kwa mchina
nywele unabandka les wg
maziwa unabust..sndano....
KULE NAKO KM VP UNAENDA KUNUNUA SABUNI...KUNAKUWA KUPYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA......ahh araha tupu!!!!!!!!!!!
 
macho unaaweka mbon
kope ubanandka
****** na hps kwa mchina
nywele unabandka les wg
maziwa unabust..sndano....
KULE NAKO KM VP UNAENDA KUNUNUA SABUNI...KUNAKUWA KUPYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA......ahh araha tupu!!!!!!!!!!!

Hmmmmm
 
Back
Top Bottom