Wasichana vyuoni na rushwa ya ngono


Bongo hakuna chuo ambacho hakuna rushwa ya 'NGONO'.Kila chuo hii kitu ipo hapa TZ.
 
wagawa tigo na kipochmanyoya wote lazma wapnge.
 

Hapo kwenye nyekundu, Mkuu! Kazi ni Kwako!
 
Ha haaaaaa. Eti kipochimanyoya!!
Ha haaaa eti 0717......
Dah wabongo noumer.
 
Msiwasingizie wakufunzi, watu wanajpeleka wenyewe ofisini, na wao pia binadamu, mnataka wakipewa wakatae? Kwa hyo usiite rushwa, tuiite ofa. We mtu huna shida ya maana unaenda umevaa kimini na nyonyo nje ofisini kwa watu, tena na macho unarembua unategemea nini?.....me nasema na waliwe tu (in Pinda's voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…