Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Hivi DA, ukiambiwa uchague uwe mpango wa nje wa mtu au uolewe na mwanaume aliemwacha mkewe wa kwanza, JE WEWE UTACHAGUA NINI?

Kwa sasa sina qualification za kufanya hivyo nimeolewa tayari mpango wa nje kwangu mmmmhhh
 
The finest ukiachika na mke mkubwa uni PM...

i can c a new chat room here...
Ha ha ha lol!! AMESEMA HATA NIFANYEJE HAWEZI KUNIACHA AMESEMA NITAZUNGUKA BUCHA ZOTE MWISHO WA SIKU NITARUDI KWAKE
 
Hapana kwani nimekuwa mkali mie toka lini bwana mie sikasirikagi kihivyo mambo ya humu yanabaki humu humu

They say sex is a misdemeanor..the more you miss it the meaner you get....tehtehteh
 


hiyo research yako ina utata. reseach yako ni ya wanaume 25 kati ya wangapi????????

Wanaume ndo wanamatatizo tuu au na kina mama pia?

Au umejifanyia research mwenyewe????? Wakukimbie ww tu.

NB: Wanandoa msitoke nje ya ndoa zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…