Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ha ha ha lol!! AMESEMA HATA NIFANYEJE HAWEZI KUNIACHA AMESEMA NITAZUNGUKA BUCHA ZOTE MWISHO WA SIKU NITARUDI KWAKEThe finest ukiachika na mke mkubwa uni PM...
i can c a new chat room here...
Kwa sasa sina qualification za kufanya hivyo nimeolewa tayari mpango wa nje kwangu mmmmhhh
Hapana kwani nimekuwa mkali mie toka lini bwana mie sikasirikagi kihivyo mambo ya humu yanabaki humu humu
Bado nahitaji ile kitu kutoka kwa kina KABILAKwa ruhusa ya nani?
I like thatHa ha ha lol!! AMESEMA HATA NIFANYEJE HAWEZI KUNIACHA AMESEMA NITAZUNGUKA BUCHA ZOTE MWISHO WA SIKU NITARUDI KWAKE
Kev wanajua sema wanajifanya kubisha tu.They say sex is a misdemeanor..the more you miss it the meaner you get....tehtehteh
Habari zenu wote.
Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii
NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11
the more i miss dena amsi the meaner i get.nitafsirie bwana sijakuelewa kabisa hapa
tusker baridikwani wewe ndo kevin mkuu??? Nitaku.....
Hivi those Rwandese sugarcakes have already been shipped?Bado siku chache sana ha ha ha ha ha ha