Niliwamisi wote.
Teamo bado yupo Paternity leave?
Fidel bado unakunywa safari laga tiptop?
Asprin umepona?
RR umeshafanyia service taxi yako tayari kwa kwenda mndenyi?
The Finest, Mama Big yupo wapi?
Rose, hivi semina elekezi haiishi tu?
GY, habari ya Chuma ulete bana
Firstlady, hatibreka anakusalimu sana
Kimey, nasikia kuna bar mpya Kihesa, ni kweli?
Mama big, big amerudi sasa, karibu
Kaizer; nasikia umevuliwa uongozi baada ya chama kupewa jina jipya la MPANGO WA NJE
MJ1, kamati kuu inataka kukupa tuzo ya haki za Mapenzi ya mwaka 2010
anonymous woooote........Nipo KIMPANGO MZIMA kuelekea mwisho wa mwaka.