Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Mi mbona ulinitosa ukampa ushindi baba Enock vp umepima uzito umeona mkono mfupi nini huyo?

Mambo mengine ya chumbani unayaleta sebuleni tena aahhh wewe naye bwana hebu rusha hukooooooooooooo
 
Good morning watu wa Mungu.
Habari zenyu za usubuhi.
 
Kwa wanaume wote weupe, wafupi na wanawake wenye vitambi...nawasalimu kwa jina la bwana
 
Kimey has login shortly just to say hi to you all! Mkinionea my honey WiseLady mwambieni nimemmiss mbaya!
Babu na Pope Keizer am watching you very closely!
Ok ok c u later guys ngoja nijibu maswali ya wapiga kura hapa!
 
Gudimoningi Mkuu
Niliwamisi wote.
Teamo bado yupo Paternity leave?
Fidel bado unakunywa safari laga tiptop?
Asprin umepona?
RR umeshafanyia service taxi yako tayari kwa kwenda mndenyi?
The Finest, Mama Big yupo wapi?
Rose, hivi semina elekezi haiishi tu?
GY, habari ya Chuma ulete bana
Firstlady, hatibreka anakusalimu sana
Kimey, nasikia kuna bar mpya Kihesa, ni kweli?
Mama big, big amerudi sasa, karibu
Kaizer; nasikia umevuliwa uongozi baada ya chama kupewa jina jipya la MPANGO WA NJE
MJ1, kamati kuu inataka kukupa tuzo ya haki za Mapenzi ya mwaka 2010
anonymous woooote........Nipo KIMPANGO MZIMA kuelekea mwisho wa mwaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…