The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
amen amen,,karibu ktk uzinduzi wa chatrum
niliwamisi wote.
Teamo bado yupo paternity leave?
Fidel bado unakunywa safari laga tiptop?
Asprin umepona?
Rr umeshafanyia service taxi yako tayari kwa kwenda mndenyi?
The finest, mama big yupo wapi?
Rose, hivi semina elekezi haiishi tu?
Gy, habari ya chuma ulete bana
firstlady, hatibreka anakusalimu sana
kimey, nasikia kuna bar mpya kihesa, ni kweli?
Mama big, big amerudi sasa, karibu
kaizer; nasikia umevuliwa uongozi baada ya chama kupewa jina jipya la mpango wa nje
mj1, kamati kuu inataka kukupa tuzo ya haki za mapenzi ya mwaka 2010
anonymous woooote........nipo kimpango mzima kuelekea mwisho wa mwaka.
Kimey has login shortly just to say hi to you all! Mkinionea my honey WiseLady mwambieni nimemmiss mbaya!
Babu na Pope Keizer am watching you very closely!
Ok ok c u later guys ngoje nia nijibu maswali ya wapiga kura hapa!
GY umenicha hoi halafu nahisi wewe ni mweupe.
nakumiss swithat ngoja nipande mlimani na ze fainest kama humtaki babu,,ila pope kaizer yeye ni con:whoo:stant
aah DA kwani we una kitambi?
Niliwamisi wote.
Teamo bado yupo Paternity leave?
Fidel bado unakunywa safari laga tiptop?
Asprin umepona?
RR umeshafanyia service taxi yako tayari kwa kwenda mndenyi?
The Finest, Mama Big yupo wapi?
Rose, hivi semina elekezi haiishi tu?
GY, habari ya Chuma ulete bana
Firstlady, hatibreka anakusalimu sana
Kimey, nasikia kuna bar mpya Kihesa, ni kweli?
Mama big, big amerudi sasa, karibu
Kaizer; nasikia umevuliwa uongozi baada ya chama kupewa jina jipya la MPANGO WA NJE
MJ1, kamati kuu inataka kukupa tuzo ya haki za Mapenzi ya mwaka 2010
anonymous woooote........Nipo KIMPANGO MZIMA kuelekea mwisho wa mwaka.
Hivi Baba Fab (TEAMO) yuko wapi?
Nimejisikia kusema hivi:Ha haha ha ha ha ha si ile imekwenda kwa wakubwa na wengine hatugusi huko
habari yake bigiritaaaaa......hii post walai lazima tuinywee bia leo....sababu nyingine ya kunywa bia!
Cha kufa mtu aisee
nimejisikia kusema hivi:
Mwanamke mwema ni nani awezaye kumwona?
Maana kima chake chapita kima cha marijani.
Moyo wa mumewe humwamini,
wala hatakosa kupata mapato.
si kuwapenda tu hata kuwaona wala kuwasikia sitaki kabisa