Wasichana wa JF ambao hamjaolewa


ha ha ha ha ha ha ha
 
Kimey has login shortly just to say hi to you all! Mkinionea my honey WiseLady mwambieni nimemmiss mbaya!
Babu na Pope Keizer am watching you very closely!
Ok ok c u later guys ngoje nia nijibu maswali ya wapiga kura hapa!

Nakumiss swithat ngoja nipande mlimani na ze fainest kama humtaki babu,,ila Pope kaizer yeye ni con:whoo:stant
 

Habari yake bigiritaaaaa......hii post walai lazima tuinywee bia leo....sababu nyingine ya kunywa bia!
 
Ha haha ha ha ha ha si ile imekwenda kwa wakubwa na wengine hatugusi huko
Nimejisikia kusema hivi:

Mwanamke mwema ni nani awezaye kumwona?
Maana kima chake chapita kima cha marijani.
Moyo wa mumewe humwamini,
Wala hatakosa kupata mapato.
 
habari yake bigiritaaaaa......hii post walai lazima tuinywee bia leo....sababu nyingine ya kunywa bia!

sababu nyingine ya leo kuimba.......ccm ndioooo baba, ccm ndioooo mama, ccm yajenga nchi, mapinduzi tuongozee
 
nimejisikia kusema hivi:

Mwanamke mwema ni nani awezaye kumwona?
Maana kima chake chapita kima cha marijani.
Moyo wa mumewe humwamini,
wala hatakosa kupata mapato.

ha ha ha bigirita naona unaanza kufuata nyayo za mwanakijiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…