pale unapokuwaga nyuma kwa C.Lite moja?aisee kama kawaida kwa elizaa wetu pale pale weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!
Kabaila habari ya valuer bana!!Nimebadili mawazo.............Awepo asiwepo wewe ni mali halali ya babu peke yake. Aimiin manyonyesheo yako mantashau.
Umeanza lini kuchakachua wajukuu Babu mbona wanipa mtihani wewe lakini mie nitashitaki kwa Bibi???
nimebadili mawazo.............awepo asiwepo wewe ni mali halali ya babu peke yake. Aimiin manyonyesheo yako mantashau.
kimey huu mpango wako wa ndani mnafiki kweli hebu tafuta mpango wa nje haraka sana
Nimebadili mawazo.............Awepo asiwepo wewe ni mali halali ya babu peke yake. Aimiin manyonyesheo yako mantashau.
pale unapokuwaga nyuma kwa c.lite moja?
Safi sana....mpe vidoge vyake huyo Hadija Kopa.Acha upambe wewe
Masahihisho kidogo hapo: Mi MJAMAA.Kabaila habari ya valuer bana!!
Na wewe umeanza lini ku PU.S.H? Au wewe ndo unapushiwa? Umemkwaza babu na umemmwongezea safari ngumu ya kwenda Mbinguni.
Hahahaha...nimemwachia Teamo bana, hebu cheki naye fasta.babu hivi ile ishu ya kwa akina kabila kule congo iko wapi
Hivi bado uko naye? Piga chini huyo mtu. Haiwezekani nilikuacha naye wiki mbili tu akayaharibu namna ile. Unajua gharama niliyoingia kuyakarabati mpaka yakarudi katika hali yake ya kawaida?Babu una maanisha niachane na kimey??????????????:A S-alert1:
Babu una maanisha niachane na kimey??????????????:A S-alert1:
Na wewe umeanza lini ku PU.S.H? Au wewe ndo unapushiwa? Umemkwaza babu na umemmwongezea safari ngumu ya kwenda Mbinguni.
me loves babu a lot,,hebu pokea hii kwa utangulizi
una bahati leo nipo busy na wapiga kura! Ngoja niendelee kujibu maswali kwa nn kilimo hakiwalipi then ntarudi!
swithat babu kasema alikuambia in ur absence atatek part,,,nakumiss ujue.,,,
:kiss::kiss:
nimebadili mawazo.............awepo asiwepo wewe ni mali halali ya babu peke yake. Aimiin manyonyesheo yako mantashau
babu una maanisha niachane na kimey??????????????
Hivi bado uko naye? Piga chini huyo mtu. Haiwezekani nilikuacha naye wiki mbili tu akayaharibu namna ile. Unajua gharama niliyoingia kuyakarabati mpaka yakarudi katika hali yake ya kawaida?
:amen::amen: yesu anaweza.Ushindwe na ulegee kwa jina la Yesu.
Baba mwokozi wa yote mulika huyu kiumbe wako aache kabisa kukagua matiti yaliyo simama na yaliyo lala baba twajua uwezo wako unaweza kwa yote mwonyeshe huyu kiumbe wako njia sahihi ya ukombozi.
Haleluyaaaaaaaaaaaaaaaa, Amen
Ushindwe na ulegee kwa jina la Yesu.
Baba mwokozi wa yote mulika huyu kiumbe wako aache kabisa kukagua matiti yaliyo simama na yaliyo lala baba twajua uwezo wako unaweza kwa yote mwonyeshe huyu kiumbe wako njia sahihi ya ukombozi.
Haleluyaaaaaaaaaaaaaaaa, Amen
Habari zenu wote.
Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii
NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11