Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Umeanza lini kuchakachua wajukuu Babu mbona wanipa mtihani wewe lakini mie nitashitaki kwa Bibi???

Na wewe umeanza lini ku PU.S.H? Au wewe ndo unapushiwa? Umemkwaza babu na umemmwongezea safari ngumu ya kwenda Mbinguni.
 
nimebadili mawazo.............awepo asiwepo wewe ni mali halali ya babu peke yake. Aimiin manyonyesheo yako mantashau.

babu hivi ile ishu ya kwa akina kabila kule congo iko wapi
 
Nimebadili mawazo.............Awepo asiwepo wewe ni mali halali ya babu peke yake. Aimiin manyonyesheo yako mantashau.

Babu una maanisha niachane na kimey??????????????:A S-alert1:
 
Na wewe umeanza lini ku PU.S.H? Au wewe ndo unapushiwa? Umemkwaza babu na umemmwongezea safari ngumu ya kwenda Mbinguni.

Ushindwe na ulegee kwa jina la Yesu.

Baba mwokozi wa yote mulika huyu kiumbe wako aache kabisa kukagua matiti yaliyo simama na yaliyo lala baba twajua uwezo wako unaweza kwa yote mwonyeshe huyu kiumbe wako njia sahihi ya ukombozi.
Haleluyaaaaaaaaaaaaaaaa, Amen
 
babu hivi ile ishu ya kwa akina kabila kule congo iko wapi
Hahahaha...nimemwachia Teamo bana, hebu cheki naye fasta.

Babu una maanisha niachane na kimey??????????????:A S-alert1:
Hivi bado uko naye? Piga chini huyo mtu. Haiwezekani nilikuacha naye wiki mbili tu akayaharibu namna ile. Unajua gharama niliyoingia kuyakarabati mpaka yakarudi katika hali yake ya kawaida?
 
Na wewe umeanza lini ku PU.S.H? Au wewe ndo unapushiwa? Umemkwaza babu na umemmwongezea safari ngumu ya kwenda Mbinguni.

PUSH: P - Pray U- Until S - Something H - Happens !! Ha ha ha haha umeipenda utaipendaaa haha ha hahha wewe watu people watu person
 
me loves babu a lot,,hebu pokea hii kwa utangulizi
una bahati leo nipo busy na wapiga kura! Ngoja niendelee kujibu maswali kwa nn kilimo hakiwalipi then ntarudi!
swithat babu kasema alikuambia in ur absence atatek part,,,nakumiss ujue.,,,
:kiss::kiss:
nimebadili mawazo.............awepo asiwepo wewe ni mali halali ya babu peke yake. Aimiin manyonyesheo yako mantashau
babu una maanisha niachane na kimey??????????????
Hivi bado uko naye? Piga chini huyo mtu. Haiwezekani nilikuacha naye wiki mbili tu akayaharibu namna ile. Unajua gharama niliyoingia kuyakarabati mpaka yakarudi katika hali yake ya kawaida?

Ni hayo tu
 
:amen::amen: yesu anaweza.
 

Na walaaniwe watu wote wenye vinyonyesheo watakaosema amina. AMEN
 

Nimehuzunika sana na kauli yako ewe dena amsi!!!! Sijui nikuweke katika kundi gani kati ya WATOA PUMBA na GREAT THINKERS??!!!!
Ndoa inapovunjika huwa hatujui ni nani mwenye makosa aliyesababisha hata ndoa hiyo kuvunjika. Kutokana na mfumo dume uliotawala katika jamii mara nyingi huwa tunawasingizia wanawake kuwa ndio wenye makosa.
Mimi binafsi ni mtoto wa sita kuzaliwa. Mama yangu aliachika na mumewe wa awali ndio akaolewa tena na kuzaliwa mimi. Vipi kama asingeolewa tena?, ina maana nisingezaliwa mie. Unapotushauri tusioe au tusiolewe na walioachwa sikuelewi.
Ni bora ukafanya uchunguzi kujua ni kwa nini ndoa ilivunjika kisha ndio uamue kumuoa au kuolewa nae huyo alikuwa ndani ya ndoa kuliko kutoa hitimisho kuwa Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!! au
Pia usikubali kuoa janajike lililoachika kwa mmewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…