Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:


 

Ushauri huu anatakiwa apewe josephine mushumbusi
 

habari yake banaaa baba mtu
 

Nina kubaliana nawe kabisa Dada Rose: Wanawake na Wanaume wote ni binadamu, na kila binadamu ni tafauti na mwengine. Huwezi kuchukua tabia ya wachache ukaifanya ya wote, na zaidi huwezi kuegemea upande mmoja. Kuna wanawake na wanaume "malaika" na wanawake na wanaume "mashetani". Cha msingi ni kuchunguza mwenyewe, bila kusikiliza ya kuambiwa na HATA MARA MOJA USIJIINGIZE KICHWAKICHWA, iwe kwa walioacha au kuwachwa. Mapenzi si lebo ya kufanya majaribio.
 
Hahahaha...nimemwachia Teamo bana, hebu cheki naye fasta.


Hivi bado uko naye? Piga chini huyo mtu. Haiwezekani nilikuacha naye wiki mbili tu akayaharibu namna ile. Unajua gharama niliyoingia kuyakarabati mpaka yakarudi katika hali yake ya kawaida?

Ni ngumu maana ameshakuwa mpango mzima,,,babu hebu cheki na Fidel kakupa warning kuhusu ukaguzi
 
Ni ngumu maana ameshakuwa mpango mzima,,,babu hebu cheki na Fidel kakupa warning kuhusu ukaguzi

Fidel nilimpa kazi ya kuhesabu kinamama wanaofia gesti...amesharudi na hesabu kamili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…