Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
- Thread starter
-
- #21
Dena Amsi Umeshawai ishi maisha ya Ndoa?
Ktk maisha ya ndoa,inatokeaga kutoelewana au kujifanya kujua kwa mmoja wa wanandoa ndio chanzo.nishe shuhudia mke wa jirani yangu,mumewe akisafiri na yeye anamwachia nyumba ausgeli wake anatimukia kwa mambwana na sio bwana.yule mama alikuwa na mabwana 4 hivi apart mumewe na mmoja kati ya hao 4 alimjengea glosary kwa pesa za mumewe.Mume alijitaidi vikamshinda,one day hawa 4 walijigungua kuwa demu anawachanganya wakachukua gest wakamla mande at a time(wakamwambia if all 4 ni wako then let do it pamoja)Mumewe baada ya apo aliomba divorce tena toka kanisa Katoliki na paroko wake akampatia jammaa ameo tena last year.
Pia wapo wanaume wengine awavumiliki kwa ubazazi ktk familia zao.wapo wanao sex na mausgeli wao au shemeji zao(wadogo wa wifez)
Sio kweli kuwa walio achwa na wapenzi wao ni vimeo
Nnaunga na Rose kuwa inabidi uchunguzi kwanza sio kukurupuka
Nimeolewa na nina watoto wanne