Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Dena Amsi Umeshawai ishi maisha ya Ndoa?
Ktk maisha ya ndoa,inatokeaga kutoelewana au kujifanya kujua kwa mmoja wa wanandoa ndio chanzo.nishe shuhudia mke wa jirani yangu,mumewe akisafiri na yeye anamwachia nyumba ausgeli wake anatimukia kwa mambwana na sio bwana.yule mama alikuwa na mabwana 4 hivi apart mumewe na mmoja kati ya hao 4 alimjengea glosary kwa pesa za mumewe.Mume alijitaidi vikamshinda,one day hawa 4 walijigungua kuwa demu anawachanganya wakachukua gest wakamla mande at a time(wakamwambia if all 4 ni wako then let do it pamoja)Mumewe baada ya apo aliomba divorce tena toka kanisa Katoliki na paroko wake akampatia jammaa ameo tena last year.
Pia wapo wanaume wengine awavumiliki kwa ubazazi ktk familia zao.wapo wanao sex na mausgeli wao au shemeji zao(wadogo wa wifez)
Sio kweli kuwa walio achwa na wapenzi wao ni vimeo
Nnaunga na Rose kuwa inabidi uchunguzi kwanza sio kukurupuka

Nimeolewa na nina watoto wanne
 
Sasa Dena unataka kuniambia hao 25 ndio wanarepresent wanaume wote Tanzania nzima kama ndio hivyo basi hata mimi naweza nikafanya uchunguzi wangu halafu baada ya hapo nikawaambia wanaume wasioe wanawake walio na watoto just know kwenye mapenzi it depends with the situation don't take things kama vilivyo then ukavifanyia conclusion saa zingine utakuwa una mislead wenzio

Unielewi au?? Nimesema katika wanaume 25 niliowashuhudia sio TZ nzima bwana
 
I knw my dear lkn kwa ndoa zetu hizi za kanisani ni ngum kuvunjika,so watakuwa wametengana na mkewe tu si kuachana,ukiangalia upande mwingine hata ambao wako single,we are not sure kama hajawahi kuoa na kuacha mfno jamaa katoka zake huko nje au huko mkoani mf sumbawanga anakuja kunichumbia mm huku mtwara,its not easy knwing his life kiivyo,na ndoa ni pana,anaweza kuwa alioa hata ya kimila lkn tumeelezwa yoteeee,mke/mume mwema watokako,we beta stik into that.
lets get the facts straight you just overlooking things na kujipa hopes zisizo na msingi labda kama mnataka kuwa watawa ambayo na yenyewe ni mchezo wa kuigiza
 
I knw my dear lkn kwa ndoa zetu hizi za kanisani ni ngum kuvunjika,so watakuwa wametengana na mkewe tu si kuachana,ukiangalia upande mwingine hata ambao wako single,we are not sure kama hajawahi kuoa na kuacha mfno jamaa katoka zake huko nje au huko mkoani mf sumbawanga anakuja kunichumbia mm huku mtwara,its not easy knwing his life kiivyo,na ndoa ni pana,anaweza kuwa alioa hata ya kimila lkn tumeelezwa yoteeee,mke/mume mwema watokako,we beta stik into that.

Unachosema ni cha ukweli
 
Unielewi au?? Nimesema katika wanaume 25 niliowashuhudia sio TZ nzima bwana

Na bado nitazidi kuendelea kutokuelewa mimi nimepata hapa mwanamke JF mzuri tu nimemwambia nimeachana na mke wangu halafu unataka kunizibia kwa kuleta thread zako za ajabu, HA HA HA HA Just kiddin lol!!!!!!!!!
 
not true...kwanza utawakwaza watu fulani ambao wanapendelea mwanamke alieachika mara nyingi, ndio huyu wanamchukua kwa gharama yoyote...more rate of divorce, more market!
 
i knw my dear lkn kwa ndoa zetu hizi za kanisani ni ngum kuvunjika,so watakuwa wametengana na mkewe tu si kuachana,ukiangalia upande mwingine hata ambao wako single,we are not sure kama hajawahi kuoa na kuacha mfno jamaa katoka zake huko nje au huko mkoani mf sumbawanga anakuja kunichumbia mm huku mtwara,its not easy knwing his life kiivyo,na ndoa ni pana,anaweza kuwa alioa hata ya kimila lkn tumeelezwa yoteeee,mke/mume mwema watokako,we beta stik into that.

now you are talking
 
Habari zenu wote.

Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11

itategemea wameachana kwa reason gani! Kama ni ufuska, tusiwape nafasi kamwe! Wasote kwa maisha ya upweke na kutanga tanga maisha yao yote!
 
Na bado nitazidi kuendelea kutokuelewa mimi nimepata hapa mwanamke JF mzuri tu nimemwambia nimeachana na mke wangu halafu unataka kunizibia kwa kuleta thread zako za ajabu, HA HA HA HA Just kiddin lol!!!!!!!!!

Kila la heri bwana kama umeachana na mkeo utaendelea kuachana nao mpaka mwisho wa dhahari
 
not true...kwanza utawakwaza watu fulani ambao wanapendelea mwanamke alieachika mara nyingi, ndio huyu wanamchukua kwa gharama yoyote...more rate of divorce, more market!

:embarrassed::embarrassed:
 
hii ni ''the other way'' of glorifying ''mpango mzima'' BILA KUSIKIA/KUTAJA

SISI TULIOOA ndo vile tunaendelea ''kushain''.......!summary ya thread ya dena ni kwamba hawa wakinamama ambao wako singo wawe na sisi TULIOOA!

HABBARR ZETU TULIOOA BANAAAAA!

LONG LIVE ''MPANGO MZIMA''
 
Habari zenu wote.

Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11

Kwa nini Dena?
 
hii ni ''the other way'' of glorifying ''mpango mzima'' BILA KUSIKIA/KUTAJA

SISI TULIOOA ndo vile tunaendelea ''kushain''.......!summary ya thread ya dena ni kwamba hawa wakinamama ambao wako singo wawe na sisi TULIOOA!

HABBARR ZETU TULIOOA BANAAAAA!

LONG LIVE ''MPANGO MZIMA''

Good boy!!!!
 
Back
Top Bottom