ukimuona kipipi moyo wangu afrodenzi mwambie i am looking for her
nimekisikia kilio chako....
vipi mtu wangu nini kulikoni???
nimekisikia kilio chako....
Vipi mtu wangu nini kulikoni???
NILIKUWA MPWKE SANA UMEPATA :A S-alert1: YANGU
i missed you so much babe
Mama mwenye nyumba Dena yupo??
BE ameshapata mtoto??
TF nimekumiss sana mtu wangu...
Je Kimey bado yuko counter ya juu??
WL vipi kipenzi changu unaendeleaje??
Je babu Asprin bado anakagua??
Je na babu DC bado anahukumu watu??
mmmhhhh jamani Fab bado anamwaga maneno??
na mgeni wetu Kipenzi Biringita bado anakujaga maeno haya??
salale kasi kolomayo mmmmhhh nime miss sana home...
Mwongo huyo alikuwa na WL toka asubuhi saa hizi anajifanya mjanja hana lolote
Ati nini? unataka kusema babu kaacha kazi ya kukagua na kaangukia mapinduzi halisi sasa??Hakuna mpya sana kivile ni kama kawaida tu Babu kanikosea heshima leo eti anataka kumpindua BE
Hii ya kwenda kulalia nitakununulia nini tena unataka vile sema basi aahhh
mwongo huyo alikuwa na wl toka asubuhi saa hizi anajifanya mjanja hana lolote
mama mwenye nyumba dena yupo??
be ameshapata mtoto??
tf nimekumiss sana mtu wangu...
Je kimey bado yuko counter ya juu??
wl vipi kipenzi changu unaendeleaje??
Je babu asprin bado anakagua??
Je na babu dc bado anahukumu watu??
Mmmhhhh jamani fab bado anamwaga maneno??
Na mgeni wetu kipenzi biringita bado anakujaga maeno haya??
Salale kasi kolomayo mmmmhhh nime miss sana home...
wambea, wazabizabina, wanafiki utawajua tu, wivuu huoooo hebu niache na afrodenzi wangu tupishe tuachie uwanja hebu huko bana unatubana hadi tunashindwa pumua teremka bana dena unajaza bure gari tuachie mimi na afrodenzi wangu.
hii kwa ajili ya tequilla na long island ice tea
Mwongo huyo alikuwa na WL toka asubuhi saa hizi anajifanya mjanja hana lolote
hahahah lol mi nilizani wamebadilika sasa
kumbe mmhhhh..
lakiini we umeshindaje mtu wangu??
Mhhhhh nimekumiss kinyama yaani..
Halafu ile pm wewe mmmhhhh
sina lakusema wataka kuniua bure
sina la kusema mimi kakaaaaa..
hahahahahha lol umeanza kunichokoza ae hahahah lol
ni me wa miss tu watu wangu so i was just checking if every one has hatches and harness's ready for take off...haha lol