Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

@afrodenzi samahani kidogo kaka/dada HIVI WEWE NI HE/SHE?
 
mtoa ushauri pia hakutaja majina ya wanawake humu,sijui nini kilichokupelekea kumtaja huyo mama humu?????ndio maana nikakwambia kama unampenda sana print umpelekee...!

My dear hawa wa hivi unawafanyia hivi:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
 
hahhaha lol:kiss::kiss: mmmmmhhhhh :A S-cry😱ppppssss wrong one i mean:A S-rose::A S-rose::A S-rose: hahah lol

afro nakumis sweety niko mlimani na kimey,,,nimeshuka chap kukuomba umuongezee fainest hizo gift hapo juu maana anafanya kazi nzuri sana ya kuscan kila kirusi kinachavamia chatrum,,,wel do it for me babe,,dena ameongeza kasi ya kutoa senks,,,hope umeona.
 
:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth: Tuheshimiane tafadhali "Don't judge the book.........""""
dada stress unazo ndio maana unakesha humu. topic zako pia zinaonyesha hili. Ila bora wewe unajua namna ya kuzipunguza 😛eace:
 
malaika yuko okay kabisa...(sema ndo hivo bado sijamFABricate)
POLE NA BARIDI!

nashukuru sana kusikia anaendelea vizri sana...

mmmhhh huku summer ndugu yangu...
yaani hadi raha tu..
asante sana lakini..
na we pole na joto hahahahah lol
 
Ni kama kale kalikozaliwa Lugalo kama watoto wangu wote nilizalia hapo

aisee nashukuru kwa taarifa...!
jamaa zangu wengi wamebahatika kuwasiliana na huyu mtu mimi tu ndo ilikuwa bado
 
dada stress unazo ndio maana unakesha humu. topic zako pia zinaonyesha hili. Ila bora wewe unajua namna ya kuzipunguza 😛eace:

Nasisitiza tuheshimiane katafute wachumba kuleeeeeeeeee wamekushushua yamekushinda!!! Hata kama ninazo wewe zinakuhusu nini. Nasisitiza tuheshimiane na usinifatete tafadhali sana heshima kitu cha bure
 
mmmhhh kwa kweli mie ni dada...

ok ok!
ndo maana ''the finest'' anahaha usiku kucha.

utakaporusha thread ya kutafuta mchumba naomba umkonside the finest.....!the guy is very very FINE
 
Nasisitiza tuheshimiane katafute wachumba kuleeeeeeeeee wamekushushua yamekushinda!!! Hata kama ninazo wewe zinakuhusu nini. Nasisitiza tuheshimiane na usinifatete tafadhali sana heshima kitu cha bure

samahani mama DENA nakushauri hao watu usibishane nao!wala usijibizane nao

DENA NAOMBA UNIUZIE MIMI HIO KESI NIMEMISS SANA KUM-FABRICATE MTU
 

hahahahah lol dont worry sweet ni merudi kwa kasi zote..
usijali siunajua tena mi ndo na keshaga kwenye key board hahahha lol
kwa hiyo hakuna pressure kabisa...
umeona ile thread yangu niliyotuma ka page mbili hivi nyuma..???
mmmhhh mie nimekumiss ile mbaya kabisa yaani..
haya bwana msalimie Kimey ....

Bababa bajuka tu..
life ni fupi na misijivungi
na weka shida chini narusha mikono juu..
ruka tu
hahahahah lol
dedication yenu hiyo mmmmmwwwwaaaaaaahhhhhhhh
 
samahani mama DENA nakushauri hao watu usibishane nao!wala usijibizane nao

DENA NAOMBA UNIUZIE MIMI HIO KESI NIMEMISS SANA KUM-FABRICATE MTU

Nimeiuza dear ruksa nitakuachia wote wa hivi
 
ok ok!
Ndo maana ''the finest'' anahaha usiku kucha.

Utakaporusha thread ya kutafuta mchumba naomba umkonside the finest.....!the guy is very very fine

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha lo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Hii naona ni kwa ajili ya vodka/valuu za vuguvugu
 
dada stress unazo ndio maana unakesha humu. topic zako pia zinaonyesha hili. Ila bora wewe unajua namna ya kuzipunguza 😛eace:

ataachaje kuwa na stress wakati we uko hapa???
 
ok ok!
ndo maana ''the finest'' anahaha usiku kucha.

utakaporusha thread ya kutafuta mchumba naomba umkonside the finest.....!the guy is very very FINE

hahahahahah lol asante sana
mmmmhhh kwa kweli ..
si dhani ka ntarusha thread ka hiyo lakini ..
mmmhh
 
Nasisitiza tuheshimiane katafute wachumba kuleeeeeeeeee wamekushushua yamekushinda!!! Hata kama ninazo wewe zinakuhusu nini. Nasisitiza tuheshimiane na usinifatete tafadhali sana heshima kitu cha bure
Nimekusoma mama/dada. naomba nikuache RASMI!!! :A S 103:

Namkaribisha huyo anayetaka kununua kesi. Eti hilo ni jina la kike au la kiume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…