hahahahah lol kwa hiyo kila kitu kibaya tuna m blame dena au vipi ??hahah lol
Busa, pure ama manguree
wl atalijibu kesho na huku wanoko wameanza itahamishwa sasa hivi
Kabisaaa without Finest hakuna Dena and without Dena hakuna Afrodenzi and without Afrodenzi hakuna Finest and without Afrodenzi hakuna Wiselady and without Kimey hakuna Wiselady and without Baba Enock hakuna Dena
Anatafuta njia ya kunitaja jina langu hana lingine huyo nikwambie
hahahah lol naoa anapenda sana jina lako
"nime kufia fia "
"nimekuzimikia kia"
"mtoto wa geti kali"
hahahhah lol
kabisa amesababisha hadi chatroom yetu ile yenye hits nyingi ikatupwa jukwaa lile la watu wazima
hahaha!
LET'S BATTLE DUDE!i lyk them battling