Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Kabisaaa without Finest hakuna Dena and without Dena hakuna Afrodenzi and without Afrodenzi hakuna Finest and without Afrodenzi hakuna Wiselady and without Kimey hakuna Wiselady and without Baba Enock hakuna Dena

duuuuhh sijajua huu ndo muuondoko wa hapa ndani ..
hahah lol
kwa kweli
 
hahahah lol naoa anapenda sana jina lako

"nime kufia fia "
"nimekuzimikia kia"
"mtoto wa geti kali"
hahahhah lol

HUYU DENA TATIZO LAKE NI SITAKI NATAKA ZAKE INAWEZAKANA LABDA The courses of true love never did run smooth.
 
kabisa amesababisha hadi chatroom yetu ile yenye hits nyingi ikatupwa jukwaa lile la watu wazima

hivi kumbe ..
mmmhhh mi roho bado inaniuma sana
maana tulikuwa poster kama 4873..
kidogo tu tufike kwenye target yetu lol
 
hahaha!
LET'S BATTLE DUDE!i lyk them battling

Forget about batling. Kalee mwanao kwanza. Nadhani pia kesi uliyonunua ushahidi umeteketea so no case. Mpe salamu dena. mwambie atanikuta kule kwa wakubwa. nawe ukitaka utanikuta huko pia
 
jamani kuna mtu amenionea FAB wangu!....?
 
Kuna mtu nimeona hapa chini anaitwa jf marketer atakuwa sijui anasaidia kuimarket hii thread
 
Back
Top Bottom