Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Jamani Jamani tuache uongo wengi wa wanaume wanacheat wanakuwa na sababu. Kwa hivi sikubaliani na wewe eti wanawake wasiolewe wasiolewe na wanaume walioacha.
 
Jambo mpenzi???any utata from any where??wapi fainest?salam nyingi toka mlimani

asante sana kwa salamu..
mmmhhhh kwa kweli inaoneka Kimey alikuwa anakupa mambo hatari..
yaani tangu jana leo ndo unarudi mmmhhhh
yangu macho trip hii hahahahhah lol
TF amesha koroma sasa..
na Dena hivyo hivyo anabusu mto...
nipe story zaidi za mlimani mmhhh mwenzie unanitamanisha sasa hahhahah lol
 
Jamani Jamani tuache uongo wengi wa wanaume wanacheat wanakuwa na sababu. Kwa hivi sikubaliani na wewe eti wanawake wasiolewe wasiolewe na wanaume walioacha.

Mkuu thread ilishachakachuliwa siku nyiiiiiiiiiiiiiingiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Jambo mpenzi???any utata from any where??wapi fainest?salam nyingi toka mlimani

WL wewe nae jana ulikuwa kama Mzee Serengeti ulikuwa husalimiii lakini unasoma tuu mwone kwanza!! Hujambo lakini my Lady??
 
Jamani hivi mada nini hapa au chat rumu imehamia huku?
 
Habari senyu wote kwa ujumla naomba mkinionea MTU MWEUPE,HEARTBREAKER NA ANONYMOUS waambie nawatafuta.
 
WL wewe nae jana ulikuwa kama Mzee Serengeti ulikuwa husalimiii lakini unasoma tuu mwone kwanza!! Hujambo lakini my Lady??

Jana nilikuga naenda mlimani kwahiyo nilikuwa namonitor tu kwa mbali,,acha kelele.Uko poa lkn???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…