Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

jamani eeh samahani namtafuta FAB kokote aliko...
 
Kashaijabutege
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-online.png
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateWed Oct 2010LocationKabuteigiPosts254Thanks27Thanked 59 Times in 34 Posts Rep Power21Natafuta jimama lililoachika mara tatu

Natafuta jimama (liliplopanda kwa umbo) lililoachika mara tatu. Nasikia kina mama walioachika mara tatu huwa wavumilivu sana katika ndoa ya nne.​
 
Habari zenu wote.

Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11
Mh... kweli hii mada kali

DA... kuna sababu nyingi sana za mtu kuoa na kuacha na naomba nikupe msimamo chanya kwa baadhi ya waliooa na kuacha

  1. inawezekana kabisa alioa kicheche na akapata ushahidi wa namna moja au nyingine
  2. sometimes mahusiano yanafikia point of no return, na badala ya watu kung'ang'aniana na kuumizana mioyo na hata milli ni bora kila mtu ashike lwake kwani si ajabu hamkuumbwa kuwa mwili mmoja
  3. baadhi ya ndoa zilikua arranged
  4. mwanaume aweza kuoa halafu akifilisika mara nyingi ndoa huwa balaa, ikitokea kwangu huyo mwanamke simrudii hata kama nimepata pesa kiasi gani... money oriented marriages
  5. wengine wameacha wanawake washirikina

kuna sababu alfu lela u lela zinazosababisha hayo na hukumu uliyotoa ni too general

yote uliyoyasema yaweza pia kuhamishiwa kwa mwanamke na tukawa tunahukumu na kunyima haki watu ambao hawana kosa lolote... we imagine dume bakaji, jambazi, chawi nk limeachwa na mkewe baada ya kugundua tabia mbaya ya mumewe... akitokea mwanamke kama huyo tusimuoe??
 
Mh... kweli hii mada kali

DA... kuna sababu nyingi sana za mtu kuoa na kuacha na naomba nikupe msimamo chanya kwa baadhi ya waliooa na kuacha

  1. inawezekana kabisa alioa kicheche na akapata ushahidi wa namna moja au nyingine
  2. sometimes mahusiano yanafikia point of no return, na badala ya watu kung'ang'aniana na kuumizana mioyo na hata milli ni bora kila mtu ashike lwake kwani si ajabu hamkuumbwa kuwa mwili mmoja
  3. baadhi ya ndoa zilikua arranged
  4. mwanaume aweza kuoa halafu akifilisika mara nyingi ndoa huwa balaa, ikitokea kwangu huyo mwanamke simrudii hata kama nimepata pesa kiasi gani... money oriented marriages
  5. wengine wameacha wanawake washirikina

kuna sababu alfu lela u lela zinazosababisha hayo na hukumu uliyotoa ni too general

yote uliyoyasema yaweza pia kuhamishiwa kwa mwanamke na tukawa tunahukumu na kunyima haki watu ambao hawana kosa lolote... we imagine dume bakaji, jambazi, chawi nk limeachwa na mkewe baada ya kugundua tabia mbaya ya mumewe... akitokea mwanamke kama huyo tusimuoe??
Cousin a bottle of BLACK LABEL for you i will have it shipped to you via DHL to TA.
 
Back
Top Bottom