Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

mwenye nyumba hujamalizia

hata afrodenzi ni mama mwenye nyumba hivi baba enock hayupo ehee hebu tuachie nafasi basi na afro unajua dena unatubana hadi tunashindwa pumua hebu sogea kule basi bwana kha!!!!
 
hata afrodenzi ni mama mwenye nyumba hivi baba enock hayupo ehee hebu tuachie nafasi basi na afro unajua dena unatubana hadi tunashindwa pumua hebu sogea kule basi bwana kha!!!!

hahahahah lol
nini tena kulikoni??/
we siulitaka kumuumiza BE kwa sababu yuko na Dena na we unampenda DEna??
Je kuna kitu kimetokea mi nimekimiss??
 
hata afrodenzi ni mama mwenye nyumba hivi baba enock hayupo ehee hebu tuachie nafasi basi na afro unajua dena unatubana hadi tunashindwa pumua hebu sogea kule basi bwana kha!!!!

Wivu utakuua wewe
 
print ummpelekee...ulikuwa huna haja ya kumtaja humu if you care for her that much....!

mbona mtoa ushauri haku print na kuwapelekea aliowapa ushauri? I thought ametoa ushauri in general including mama mushumbusi
.
 
AISEE hapo juu afrodenzi na the finest HAMJAMBO?
 

mbona mtoa ushauri haku print na kuwapelekea aliowapa ushauri? I thought ametoa ushauri in general including mama mushumbusi
.

mtoa ushauri pia hakutaja majina ya wanawake humu,sijui nini kilichokupelekea kumtaja huyo mama humu?????ndio maana nikakwambia kama unampenda sana print umpelekee...!
 
Jamani haya mabusu ndio huwa yanafanya chatrum inahamishiwa kwa wakubwa

mmmhhh GY sasa walituwekea hapo chini ya nini??
yaani mi kama nasikia raha nataka kutoa busu niwe naogopa??
mmmmhhhh haya yatanishinda maana mie kujibania si wezi...
 

mbona mtoa ushauri haku print na kuwapelekea aliowapa ushauri? I thought ametoa ushauri in general including mama mushumbusi
.

Kuna jina lolote liliandikwa humu au?? Sokomoko unataka kulianzisha kama jina lako sio. Mie sipendi???
 
Back
Top Bottom