Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Hayo yamesemwa na Afisa Mwandamizi wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu,Naibu Kamishna wa Jeshi la Magereza, Ahmad Mwendadi wakati wa Semina ya Kupambana na Biashara hiyo iliyotolewa kwa Wawakilishi wa Viongozi wa Mashirika yaliyopo chini ya Umoja wa Wamama Wakuu wa Kanisa Katoliki kutoka mashirika ya Kitawa huku washiriki hao wakiweka wazi umuhimu wa semina hizo katika kupambana na biashara hiyo.
Pia soma:
~ Mbunge Fakharia Shomari: Serikali Iliangalie Suala la Usafirishaji Haramu wa Binadamu Tanzania
~ Hali ya Biashara ya usafirishaji haramu wa Binadamu nchini Tanzania na Duniani