Wasichana wa siku hizi..na kutafuta elimu..........



we unapotosha watu
kila society ina general principles zinazoongoza hiyo society....
huwezi kema watu wako free kufanya lolote ili mradi ni wao...
mtu asome aumize kichwa,mwingine aende kutembea na mwalimu wapewe matokeo sawa
useme eti haituhusu ni maisha yake,please.....
 

usichanganye maambo hapa
sijawazungumzia madada poa au machangudoa hapa...

kama mtu anaamua kujiuza ili ajikimu maisha yake sio hoja hapa
hoja hapa ni kujiuza ili asome au kutembea na mwalimu ili afaulu....
 
Kuna watu humu wanajifanya watakatifu kweli..!
Na hizi ni triki tu za kufanikisha yale waliyoyalenga.
 
nadhani kitu kinachowapelekea kufanya hivyo ni kutokushirikisha ubongo waako na kutokujituma wakati wakujisomea..
 
Huyo nnaempotosha ni nani?
Soma post niliyomjibu Kongosho utaelewa nnachokngelea badala ya kuniwekea maneno sijui niseme kwenye post. Nimesema wazi sifagilii. . . ila vile vile simuamulii mtu mwingine nini anachotaka kwenye maisha ama thamani ya mwili au hata akili yake. . unless ninamfahamu na kumwelewa kiasi cha kujua he/she could be better.
 
usichanganye maambo hapa
sijawazungumzia madada poa au machangudoa hapa...

kama mtu anaamua kujiuza ili ajikimu maisha yake sio hoja hapa
hoja hapa ni kujiuza ili asome au kutembea na mwoalimu ili afaulu....

Jamani SOMA UELEWE.
Umesoma alichoandika niliyemjibu?
Nishachoka na haya majadiliano ya kulazimishana chakusema. . . Cyaaa!!

Alafu kabla sijaondoka. . .anaejiuza shuleni na nje ya shuke malengo yao yanatofaitiana?Si wote wanatafuta namna ya kupambana na maisha?Si wote wanauza miili ile ile?Basi vipi upande mmoja uonekane ni bora zaidi ya mwingine?

Kama mwanafunzi mwenzio anajiuza apate majibu bila kusoma, .. . kwanini usimkasirikie na yule anaejiuza ili apate kula bila kufanya kazi kama wewe?
 
yes, nimekupata haswaaa

 
ofu kozi

unajua kuna vitu vingine unajifunza kwenu bila hata kujua unajifunza kitu
mfano, baba ni womanizer
hata watoto hii dhambi watairithi bila wao kujua ndani ya nafsi zao
Sioni haja ya kutupia hizi lawama familia zetu ,
Kupata madhara kutokana na kuwa na wazazi/walezi irresponsible ni suala tofauti kabisa na
kuiga tabia ya kuwa irresponsible ,
Binafsi nachukia tabia zisizo za maana za wazazi wangu , na always naapa
kutokuoa mwanamke mwenye mapungufu sawa na ya mama yangu
 

Hao hawatafuti elimu.Wanatafuta short cut ya maisha kwa "kuiba vyeti" wakati hawana sifa.
Wanawake kama hao sioni wanatofauti gani na wanaogushi!Ni wezi tu maana wanavuna pale ambapo hawajapanda.
Kupanua miguu au kuvua siyo kusoma! Inafika mahali tuanze kukemea na kupiga vita kwa nguvu zote.Na wanawake kama hawa tukiwajua, tusione aibu kuwaimbia kindumbwendumbwe hata huko watakakoajiriwa.NI "NAME AND SHAME" TU KWENDA MBELE!
 

Taib!

Sasa naanza kupata picha ya kwa nini watu wana hamu ya kukumwagia tindikali.
 
tatizo nikuwa huwa hawajifunzi kitu zaidi ya kuongeza cv tu na vyeti ambavyo navyo ni feki sasa sababu vimepatikana kimagumashi!
 

wewe tatizo lako hunielewi na nikijaribu kukuelewesha nachozungumza
unasema mimi sikuelewi...

wewe unazungumza individual....
wakati mimi nazungumzia society.....labda tuanzie hapo kueleweshana....
 

Nitaapili juu ya hii id yako mpya..old is gold bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…