Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina lako linaonyesha ww ni mtu wa aina gani humu JF. JK ni sawa na baba yako hivyo huna budi kumuheshimu. Au kukupeni uhuru wa kuandika na kusema mtakayo humu JF imekuwa nongwa mpaka ufikie hatua ya kumtukana? Una ushahidi gani kuthibitisha hayo unayoyasema juu yake? Heshima ni kitu cha bure.
ww ni muarab au mzungu mbona ulimpata?anasoma degree ya taxation mwaka wa kwanza........so alinisimulia wanavyoojiuza club mbalimbali na wateja wao wakubwa ni waarabu na wazungu.....kwani ndo wanaopenda sana kwani sio wabahili
mkuu ungesema hivi;
wasichana wa ustawi na udsm wanajiuza ambiance,cbe na ifm wanajiuza bill's na break point.wale wa uhasibu kurasini na tumaini kurasini na duce wanajiuza club masai kurasini.mia