Godo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,089
- 1,468
Manzi wamekuwa zaidi Finca sio kwa kudai huko mpaka unakuwa bored.
Kuna manzi zinagonga mizinga weeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna manzi zinagonga mizinga weeeeee
Hatari kwakwerManzi wamekuwa zaidi Finca sio kwa kudai huko mpaka unakuwa bored.
I seetafuta wa type yako wa buku 2 hao wa nyumba gari tuachie sisi
Ha ha hatoa hela.kijana
Kumuelewesha hali halisi kutabadilisha nini? Mwanamke mdangaji ukikiri huna pesa ndio atakuona mpuuzi zaidi bora ule kona kimya kimya 🤩🤩🤩kweli kabisa baadhi ya wanawake wanapenda ankara sana ushauri wangu tafuta wa aina yako hao waachie wenyenazo au kama unampenda sana jaribu kumuelesha juu ya hali yako halisi
Ama uwe msanii. Ukishakamua unasepa mazimaKumuelewesha hali halisi kutabadilisha nini? Mwanamke mdangaji ukikiri huna pesa ndio atakuona mpuuzi zaidi bora ule kona kimya kimya 🤩🤩🤩
Yah unamtia kwenye 18 zako kisha unamuwasha fasta then unasepaAma uwe msanii. Ukishakamua unasepa mazima
We shenzi una diss za ajabu 🤩🤩🤩 nimecheka sana kila nikitafakari yule nyuki mkubwa anaetoboa mbao nacheka tena maana alikuwa anakera nyumba nzima 😝😝😝😝😝Madesheee wenyewe kimya hawana makuu hata hawajioneshi
Ila hawa wenye hela za sigara na wengine wategemea boom kelele nyingi kama wale wadudu wanaotoboa mbao
Dispensare hailazi mgonjwa🤩🤩🤩 au nasema uongo wajamenidia nikopeshe laki 5 mjomba kalazwa dispensariii?
Nyie ndio mnawapa vichwa hawa below 25! Mwanamke akijifanya anajua hela sana ni mkasi tu unamuhusu! Piga chini nyamauzembe hioSio soln..huyu anapigwa chini...baadaye yeye mwenyewe atajirekebisha..atakapoona age imesogea...tusikubali uozo huu uendee ati kisa wanamiriki papuchi..if men change...women will change too.
HataaminiYah unamtia kwenye 18 zako kisha unamuwasha fasta then unasepa
Unasema uongo kabsaaDispensare hailazi mgonjwa[emoji2956][emoji2956][emoji2956] au nasema uongo wajameni
Kelele hadi anaboa😂😂We shenzi una diss za ajabu 🤩🤩🤩 nimecheka sana kila nikitafakari yule nyuki mkubwa anaetoboa mbao nacheka tena maana alikuwa anakera nyumba nzima 😝😝😝😝😝