Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unaona sasa lengo lao ni kunikomoa tu bas
Hebu niambie ukwel hakuna anayekufukuzia kweli maana naona kama kuna mtu kashika mpin then mimi nimeshika makali
Hahahaaaa chunga sanaVictoria secret ndo nini et ?? Maana nilikua na mpango wakumoelekea zawadi demu wangu wa chupi.. Hiyo ni shingap???
Nisije na mm nikampelekea hizo za watoto zinazoisha dukani
kabisaakwahiyo huyu muuzaji aliniingiza cha kike
Ulifanyaje?Aisee pole sana kamanda mi walinipiga ban ya week tatu mkuu
Ebu wawakilishe tafadhali...[emoji39] [emoji39]Teh ngoja wakuje
Oky usijar momy watoto wazima lakin si unajua niko mbali
Baadae wape cm wanangu niongee nao
Me bonge havinihusu ujue wahusika watakuja wenyeweEbu wawakilishe tafadhali...[emoji39] [emoji39]