Sizitaki mbichi hizi, kapige punyeto dogo kama umeshindwa kuwapata dada zetu wenye Bachelors, kwa kifupi ilichoandika ni uongo
Candid Scope........hebu ifike mahali na hawa wanaume wajiulize tatizo liko wapi kwa upande wao kwa nini hawa wadada wasomi wakatae msiwaoe. It take two to tango jamani.
Tatizo hapa si kwa hawa wanawake kukataa kuolewa na wanaume, ila wanaume kutopenda kuwaoa wanawake wenye umri mkubwa licha ya kuwa na elimu nzuri ambayo inaweza kuwasaidia kujenga vizuri maisha yao. Tunaomba akina dada wajaribu kutupa mawazo juu ya ukweli huu na kwa namna gani wanaathiriwa kutokana na jitihada zao za kujikwamua ili kujiweka sawa kimaisha lakini wengi wanafikia kupata madhara ya kukosa kuolewa.
nani aoe mashine used oils seal zote kwisha kazi..
you have touched a raw nerve dude, ngoja usikilizie moto wake sasa...
basi nilisoma vibaya thread maana alivyosema kuwa wanachagua chagua sana wachumba nikahisi kuwa wao hawachaguliwi.
Umri mkubwa una maanisha nini? kwa sababu nijuavyo siku hizi wanafunzi wanaoingia vyuoni ni wadogo kiumri kulinganisha na wale wa zamani ambao kwanza walitakiwa kuingia jeshini n.k.
Sidhani kama tatizo ni umri hapa labda kama ana maanisha higher levels za vyuo mf. PhDs.
Wadada wangekuja kutoa shuhuda zao hapa kama wangekuwa ndio walalamikaji wakubwa. Ninachokiona hapa ni kuwa mtoaji mada alitaka tu kujustify kuwa wanawake wasomi hawafai kuolewa period na si kuwa hawaolewi. Anazunguka zunguka tu mbuyu
yule wa darasa la tano uliempa mimba ukamkimbia,,,,,,,,usharudi kwake japo umwone mwanao!?na huyo uliyemwoa na kumweka nyumbani huku ukimnyanyasa ati kisa tegemezi kwako hakutoshi?aisee ukiona mwanamke graduate kaamua kuishi mwenyewe ni maamuzi na si kwamba ati kakosa mume.....ila hataki kero
Kuna mengi yanayochangia ikiwa ni pamoja na ilmu yao, kiwango cha kufikiri, mwono wao katika masuala ya familia, na pia matatizo ya kawaida ya injini ya gari kuwekewa aina mbalimbali ya mafuta kuzuia wear off matatizo yanayojitokeza husababisha athari nyingine. Hali hii inanikumbusha nilipokuwa mdogo nyuma ya nyumba tulikuwa na miti kadhaa ya matunda, mti mmoja uliositawi sana na kuwa na majani mazuri na mapana ya kuvutia mkubwa kupita mingine ulikuwa hautoi matunda tofauti na miti mingine ambayo haikuwa na usitawi wa pekee ilitoa matunda mengi sana mazuri tukawa tunaipapua kupata matunda tunaporudi na njaa toka shule. Haina maana wote ila kuna baadhi wanahofia jambo kama hilo.
yule wa darasa la tano uliempa mimba ukamkimbia,,,,,,,,usharudi kwake japo umwone mwanao!?na huyo uliyemwoa na kumweka nyumbani huku ukimnyanyasa ati kisa tegemezi kwako hakutoshi?aisee ukiona mwanamke graduate kaamua kuishi mwenyewe ni maamuzi na si kwamba ati kakosa mume.....ila hataki kero