MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Candid, mbona unatuonea? ina maana sie kina MwanajamiiOne ni wanaume? mbona tunaichangia hii mada au ndio sie ulotupa sifa ya kuingia kama mwizi????
hebu bwana.
Kuna thread ilianzishwa na Mbu juu ya ndoa za sasa hivi na za kale kuna element ya contribution ya elimu na hali ya wanawake kujitambua ambayo wengi walisema kuwa imechangia kwa wao kutokudumu katika ndoa zao lakini pia kuna maelezo mazuri sana ambayo yalieleza jinsi ambavyo makosa hayako kwenye wao kuwa wasomi au kuzitambua haki zao bali kwenye namna mtu binafsi anapoitafsiri elimu au kitendo cha yeye kuwa msomi au kuzijua haki zake.
mbona bado wapo ambao wanaelewa nafasi zao kama wanawake, wake pamoja na kuwa na elimu kubwa??
hebu bwana.
Kuna thread ilianzishwa na Mbu juu ya ndoa za sasa hivi na za kale kuna element ya contribution ya elimu na hali ya wanawake kujitambua ambayo wengi walisema kuwa imechangia kwa wao kutokudumu katika ndoa zao lakini pia kuna maelezo mazuri sana ambayo yalieleza jinsi ambavyo makosa hayako kwenye wao kuwa wasomi au kuzitambua haki zao bali kwenye namna mtu binafsi anapoitafsiri elimu au kitendo cha yeye kuwa msomi au kuzijua haki zake.
mbona bado wapo ambao wanaelewa nafasi zao kama wanawake, wake pamoja na kuwa na elimu kubwa??