Wasichana wenye elimu ya juu,ni matatizo.

Wasichana wenye elimu ya juu,ni matatizo.

Ushauli kwa vijana ambao hamujao zingatia kuchagua wachumba, achana na wasichana wenye madigree wasumbufu kinoma, kama unaye pole na muombe mungu atakusaidia uishi nae. Am sory for inconviniences that may arise,but that is factual and will help you young boys.

Watu bana,yaani ukipata tatizo unataka kulifanya GLOBAL?
kwakua umesumbuliwa na binti ya chuo,basi "mabinti" wa chuo wako hivo wote?
Acha ushamba bana
 
duniani kuna wanawake wa kila aina na wote wana mapungufu yao
chagua kitu roho inapenda
mimi elimu kwangu muhimu mwenza wangu lazimaawe class kidogo at least phd
 
Kwa kujazia tu utafiti umeonyesha kuwa watoto waliolelewa na mke (golikipa) huishi kwa maadili mema wakiwa watu wazima kuliko waliolelewa na mahausigeli
Hii ina kaukweli fulani!
 
Mbona mi nina ka degree kamoja tu na mke wangu ana masters degree na hajawahi kunisumbua.anapika,anafua kama kawa na anaenda zake kazini.hiyo ni tabia ya mtu tu
 
duniani kuna wanawake wa kila aina na wote wana mapungufu yao
chagua kitu roho inapenda
mimi elimu kwangu muhimu mwenza wangu lazimaawe class kidogo at least phd
Dah... sasa wenye Phd mbona tupo wachache sana... na tayari tupo occupied!!
 
Watu bana,yaani ukipata tatizo unataka kulifanya GLOBAL?<br />
kwakua umesumbuliwa na binti ya chuo,basi &quot;mabinti&quot; wa chuo wako hivo wote?<br />
Acha ushamba bana
<br />
<br />
wewe ndo waonekana mshamba kwa kukosa hoja
 
ad,mbona hujamalizia?<br />
na wewe lazma usome.<br />
na watoto nao watasoma tu!<br />
vijana wanaogopa, ndo maana hawapati wachuumba. sie tunataka mwanaume kiongozi wa nyumba. a masculine figure,who can stand up for us! atangulie mie nifuate. sasa kama ndo wanaogopa wachumba namna hii,sijui kama tutafika!<br />
<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;

Bang On.....
Nlikuwa nakusubiri umalizie kazi
Kama kawa hujaniangusha..
Asantee..
 
Tatizo sio degree walizonazo, tatizo ni uadilifu wa mtu. Kuna baadhi ya wanawake waliosoma wana hulka hizo, vile vile kuna baadhi ya wanawake wasiosoma na wao wana hulika hizo. Tunaona mitaani huku ndoa za wanawake wanawake wasiosoma zinavyosumbua( ukiuliza wenyeji, wanasema huyo mwanamke hashikiki, Maharage ya Mbeya), Kuna ndoa za wanawake wasomi pia zinasumbua sana, sababu ni nyingi sana, unaweza ukakuta nwanamke ana jeuri ya shule au mwanaume naye ni tatizo.

Haya mambo yamesababisha kipindi hiki vijana wasomi kuwa na mawazo hasi, utasikia wanasema mimi nitaoa asiyesoma tu. Na nikweli wengi wameshaanza hako ka hulka kwa sababu hafifu.

Mimi nitaoa yoyote huku nikitambua Mke bora huletwa na Mungu. Cha kufanya ni kusali tu.

Huwezi bagua mwanamke kwa kuangalia elimu yake, hatuoi elimu tunaoa mke. Mtu akilalamika, ujue alioa elimu na wala sio mke.
 
Pole, inaonekana yashakukuta. Lakini nafikiri hii mentality wanaume tunatakiwa tuiondoe. Kinachosumbua hapa ni tu kwamba msichana liyesoma anazijua haki zake za msingi, kwa hiyo hatakubali kutumiwa kama duludoza. Na hapo ndo tatizo linapoanzia, maana wanaume wengi tunapenda tuonekane kama miungu watu. Lakini ukichukulia poa, ukawa unafanya naye mambo yote kwa kuzingatia usawa; (I mean unafua, unapika, unadeki unafagia uwanja pale unapoona inawezekana) hakuna utakachoona kigumu. Kwa kawaida mwanamke msomi ana kazi sawasawa na wewe. Kwa hiyo kama ambavyo wewe usivyo na nafasi, yeye pia hana. Kwa hiyo hawezi kuwa na muda mkubwa sana wa kukutumikia wewe tu. Kwa kiasi kikubwa mnahitaji mfanye kazi kwa usawa. Ndo maana wazungu wanawekeana zamu kwa kila kitu.

duh mkuu umepitiliza sasa.
Mwanamke kufanya hizo kazi sio kunitumikia ni wajibu wake kama mke.
kuhusu kuwekeana zamu kupika,kufagia,kufua mm naona tuwaachie tu hao wazungu ambao umewataja lakin kwa waafrika hii kitu ni ngumu sana mkuu.
 
wanaume wenye elimu ya juu ni matatizo zaidi!!!
 
Pole, inaonekana yashakukuta. Lakini nafikiri hii mentality wanaume tunatakiwa tuiondoe. Kinachosumbua hapa ni tu kwamba msichana liyesoma anazijua haki zake za msingi, kwa hiyo hatakubali kutumiwa kama duludoza. Na hapo ndo tatizo linapoanzia, maana wanaume wengi tunapenda tuonekane kama miungu watu. Lakini ukichukulia poa, ukawa unafanya naye mambo yote kwa kuzingatia usawa; (I mean unafua, unapika, unadeki unafagia uwanja pale unapoona inawezekana) hakuna utakachoona kigumu. Kwa kawaida mwanamke msomi ana kazi sawasawa na wewe. Kwa hiyo kama ambavyo wewe usivyo na nafasi, yeye pia hana. Kwa hiyo hawezi kuwa na muda mkubwa sana wa kukutumikia wewe tu. Kwa kiasi kikubwa mnahitaji mfanye kazi kwa usawa. Ndo maana wazungu wanawekeana zamu kwa kila kitu.


Umetoa maelezo mazuri ulipochemsha ni kutoa mifano ya wazungu. Acha kuchanganya tamaduni wewe usiige. Hata hivyo mila zetu ni nzuri mwanamke lazima amuhudumie mume ipasavyo
 
.... Am sory for inconviniences that may arise,but that is factual and will help you young boys.

C'mon - Its never factual! I think its more of a subjective opinion than anything!
 
kwa hiyo we hutapenda dada yako asome?
Hutapenda mwanao asome?

ushauri mbaya, so fresh, demu anaweza kusoma sana but stil akakuheshimu kama mumewe.
 
si wote wasumbufu hata hao magolikipa sometimez nao wanakimbiza waume zao mchakamchaka
 
Back
Top Bottom