Wasichana wenye elimu ya juu,ni matatizo.

Wasichana wenye elimu ya juu,ni matatizo.

Seriously ..
Nyie wanaume mnaoanzisha hizi thread
mmnajidharau na kujidhalilisha wenyewe..

Nimechoka kuona thread kama hii
Kila wiki lazima iwepo..

Guys anzene kuvuta suruali juu
Kaza mkanda .. kuweni wanaume..
Chukua challenge acheni ku kung'unika..
Nyie ndo vichwa vya nyumba.. tutawapa
Vipi madaraka kama mnaogopa elemu zetu..
Jamani embu acheni hizi thread za ki pumbavu..

Weekend njema..

Make love,not war
Whether umegraduate with As or with AIDS
 
Ushauli kwa vijana ambao hamujaoa zingatia kuchagua wachumba, achana na wasichana wenye madigree wasumbufu kinoma kitabia(bad behaviours) , kama unaye pole na muombe mungu atakusaidia uishi nae. Am sory for inconviniences that may arise,but that is factual and will help you young boys.

Awamu ijayo ningependa kukuona unamsaidia Makinda kuongoza bunge!!
 
hizo perception za zaman sana kama wewe huwawez u shuld let others
handle them unawataka wa darasa la saba wapo waliomicharuko zaid hata ya wanachuo hop umeelewa.hizo ni tabia za watu 2 bwana
 
Back
Top Bottom