Wasifieni Wanawake zenu...

Wasifieni Wanawake zenu...

Sifa ziwe za kweli na zisizidi, Mimi mtu akinisifia sifia kila dakika naona ananichuuza halafu naanza kuboreka
 
Ila sa zingine wanaume tunajichoresha sana!! Hivi unampendaje mtu ambaye hata sura yake huijui, tabia zake hujui af unasema umetokea kumpenda[emoji3059][emoji3059]!! Hivi huyu mwanamke akikuuliza umempendea nn una jibu la kumpa kweli??? Kwa kweli mimi natamani af tabia ya mwanamke ndo inanifanya nimpende au nisepe..
Wanaume humu JF wanafiki lengo sio upendo wanataka wakujue then wasambaziane taarifa zako na wengine kutunga uongo humu na kuja kutukana na I'd nyingine ili kupata sifa, wengi hawana mbele Wala nyuma, Wana tabia chafu na wameshindikana na Wana stress za maisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]eti Kuna dada kakupaishia njiwa wako
Kaja kubutua kopo kabisa afu from nowhere
Ila inaonesha mnafahamiana sana

Ila dada Karma popote ulipo jua umekua chanzo cha kuharibu unabii na sidhani hii karma itakuacha kama lilivo jina lako.[emoji52]
 
Ila sa zingine wanaume tunajichoresha sana!! Hivi unampendaje mtu ambaye hata sura yake huijui, tabia zake hujui af unasema umetokea kumpenda[emoji3059][emoji3059]!! Hivi huyu mwanamke akikuuliza umempendea nn una jibu la kumpa kweli??? Kwa kweli mimi natamani af tabia ya mwanamke ndo inanifanya nimpende au nisepe..
Sio kujichoresha kaka Yohana
Kwani wangapi wamekutana kwenye hizi platform na wameanzisha familia?
Ni suala la Mapenzi,hisia na kukubaliana.
 
Sio kujichoresha kaka Yohana
Kwani wangapi wamekutana kwenye hizi platform na wameanzisha familia?
Ni suala la Mapenzi,hisia na kukubaliana.
Ila me naona ungemuomba tu muonane kwanza, mjuane ndo u express feelings zako unavyofunguka huku it sounds weired na anakuoan desperate! Na hawez kukubal mzee kwa kutangaza hapa unampenda never!!
 
Sio kujichoresha kaka Yohana
Kwani wangapi wamekutana kwenye hizi platform na wameanzisha familia?
Ni suala la Mapenzi,hisia na kukubaliana.
Ila sidhan kama walitangaza kila mtu akaona!! Nadhan walitafatana privately wakamalizana!! Yan unachofanya ww ni sawa umekuatana na mademu watano af ukamtongoza mmoja mbele ya wenzake we unadahan atakubal?? Kama kafunga pm yake inamaanisha hayuko intrested na wanaume wa huku ndo maan kafanya hivyo!! Em jiheshimu na utafute wanawake wengine mbona wapo wengi tu blaza😆😆😆
 
Kaja kubutua kopo kabisa afu from nowhere
Ila inaonesha mnafahamiana sana

Ila dada Karma popote ulipo jua umekua chanzo cha kuharibu unabii na sidhani hii karma itakuacha kama lilivo jina lako.[emoji52]
[emoji23][emoji23][emoji23]hata hatufahamiani kabisa Mimi nimetokea kumpenda misimamo yake maana naona tunafanana mengi hasa misimamo
 
Ila me naona ungemuomba tu muonane kwanza, mjuane ndo u express feelings zako unavyofunguka huku it sounds weired na anakuoan desperate! Na hawez kukubal mzee kwa kutangaza hapa unampenda never!!
Sawa Papa John nimekubali kushindwa

No need to fight a loosing war.
 
Chini ya Jua hamna mwanamke Anayejiamin iwe katika Uzuri wake wa sura na umbo, Upishi, Mavazi, ufanyi kazi wake uko kazin, majukum ya nyumban n.k ..

Kwa haraka Ukimchukulia mwanamke kama kiumbe anayebeba Nyumba nzima, ni wazi kua nayeye hana hakika kama kila jambo kalifanya 100% inavyotakiwa.

Wanawake wanapenda KUSIFIWA KUSIFIWA KUSIFIWA , wanapenda Juhudi zao zionekane na kuthaminiwa, wanapenda michango yao nakila kitu kionekane kwako na ukitambue na yeye ajue wazi kua UMEKUBALI

Niivi , Anaweza kweli kua na Sura nzuri au Umbo zuri ,LAKIN KUNA KIUNGO ANAKICHUKIA SANA NA HANA HAKIKA NA UZUR WA KIUNGO Hicho ..mfano Anaweza simama kwa Kioo akajitazama juu chin ,alafu akachukua Pua yake.. Au matit, au Mguu, au Nywele, au Sikio, au Vidole n.k ..

Nawapa SIRI moja.

Kama huna Hela au Una hela ... Weee tanguliza kusifia tu , msifie anavyonukia, msifie Uzuri wake, sifia Saa alovaa, sifia Helen mwambie kabisa zimependesha masikio yako, Sifia macho yake, Sifia Pua, Sifia mguu, sifia makalio, sifia kiuno chake

Wee sifia tu.

Hata km ni mnakutana kazin... Wee msifie mara mnapokutana.. Sifia alivyopendeza, sifia anavyonukia, sifiaa sifiaa tu ,alafu SIFIA UCHAPAJI KAZI WAKE ,sifiaaa sifiaaa tu

Kama ni Mkeo nyumban sifia tu anavyokupikia, sifia anavyowajibika, sifia alivo mtamu kitandan, sifia tu uzuri wake ,msifiee msifieee

YAAN WEE MFANYE AAMINI KUA HAPA DUNIANI ,YEYE NDIO MWANAMKE PEKEE ALIYEKUWEZA, ALIYEKUKAMATA KISAWASAWA.....
Hata kama ana uchumi wake binafsi ( ACHA KUSHOBOKEA UCHUMI WAKE ) Wee sifia tu juhudi zake, sifia tu anavyopambana na maishaaaa.

Sheria ni ngumu ila ni sheria, KUMSIFIA MWANAMKE ni kitu kidogo sana ambacho Hakigharimu kitu, lkn Faida yake ni kubwa Sanaaaaaaaaaaa
Nahizi ni baadhi

Kumla Kimasihara kama sio demu wako

Yeye ataachana na michepuko mingine ili mradi tu keshajua ana mwanaume kamkamatia kisawasawa.

Hata usipomuhonga Pesa ,yeye karidhika tu ili mradi anajua keshakukamata ...( hapa wee utapaswa tu kumuelezea mipango yako , nakwakua wanaishi kwa ndoto badi ataridhika)

Kama umemuoa ndo kabisaa atakupa mambo matamu sana kuanzia kitandan, mapishi, na mahitaji meeengi ukiwa kama Mume wake.

....Sifiaa Sifiaa Sifiaa

...Jiaminiii ,onyesha una ujasiri ..( wanawake wanapenda mwanaume jasiri ).

...Kua Kijana Nadhifu wa Mwonekano.

Na mengine mengi kutegemea na aina ya Mwanamke.!!.

NB..SIFA IZO LAZIMA ZIAKSI VILE UNAVYOJISIKIA WEWE..

mf.. Wee Mwanamke jamani hayo macho yalivyo mazuri , nikikutizama tu huwa najikuta nmekua dhaifu ghafla,

KAMA ni demu wako, nyoosha maelezo kabisaa

............."najikuta nmekua dhaifu ghafla hadi mbooo hunisimama "[emoji23]

KAMA hujawah mtongoza, unamtaka au unataka kumla kimasihara.....

............"najikuta nmekua dhaifu ghafla ,kiasi kwamba huwa nawaza siku moja nikae nawee mahali patulivu tukiwa wawili, niyatizame hayo macho yako wakati unafika kileleni huwa yanakuaje!!
Praise and worship again!! [emoji31][emoji31]
 
Hivi kuna mwanamke asiependa kusifiwa na mpenzi wake kweli?
Hapa umesema kweli. Mwanamke aweza kusifiwa na mume wake lakini akakutana na mpenzi wake wa pembeni akamzidi ujanja kwa sifa kede kede. Hata hivyo sifa sio sababu ya mwanamke kujizuia na kuamua kubaki na mwanamume mmoja. Huu ni uongonkama uongo mwingine tu.
 
Back
Top Bottom