Wasifu/Biography wa Ali Masoud (Masoud Kipanya)

Wasifu/Biography wa Ali Masoud (Masoud Kipanya)

Nashangaa siku hizi anasjida kubwa usoni!Wakati ameanza kusali ukubwani tu..kitu kinanishangaza sana..watu waliozaliwa Saudi Arabia au Dubai ..ambao huwa wameanza kusali toka wakiwa wadogo hawana sijda, lakini wabongo ambao wameijua dini ukubwani,wanasugua uso makusudi mpaka itokee sijda ili waonekane ni watu wadini.Ajabu sana...
Duh kwako mtu akiwa Muislam unaugua kbs
 
Nashangaa siku hizi anasjida kubwa usoni!Wakati ameanza kusali ukubwani tu..kitu kinanishangaza sana..watu waliozaliwa Saudi Arabia au Dubai ..ambao huwa wameanza kusali toka wakiwa wadogo hawana sijda, lakini wabongo ambao wameijua dini ukubwani,wanasugua uso makusudi mpaka itokee sijda ili waonekane ni watu wadini.Ajabu sana...

Comment yko ina ujinga kiwango cha lami.
 
nilicho sikia kutoka kwake mwenyewe ni kua hakupata nafasi ya kusoma elimu ya secondary
 
Hivi Ile KP cloth line yake iliishia wapi au Work in progress?Naskia baada ya kuona inafanana na playboy akapiga chin.kweli?CV yake jamani au alidanganya miaka Kama Michael Esien?Elimu je?
 
Huyu jamaa nimekuwa nikimfuatilia muda mrefu ...........Aisee huyu jamaa ni kichwa sana......Yani unaweza ukachukua threads kibao za JF na comments za watu, lakini yeye akaweza kuyapresent kwa mchoro mmoja tu.......

Matatizo mengi sana ya kijamii amekuwa akiyawakiisha katika michoro yake......Na kuna muda inahitaji akili ya ziada kuweza kuelewa michoro yake..............Michoro yake mingi imejaa Sarcasm na inakosoa kila penye kosa bila kujali ni upande wa serikali wala upinzani.............

Kuna muda anaweza akatoa mchoro wake ukauchukulia poa mpaka baada ya muda ndo unaelewa alichokimaanisha.....Mfano ile ishu ya Sefue kutumbuliwa.....

Nikawaza kuwa huyu jamaa anapaswa kupewa degree ya heshima na vyuo vyetu hapa Tz.....

Hebu mwenye kumjua vizuri historia yake kielimu aitupie hapa ili tumfahamu kwa undani.....Jamaa ni kichwa sana...
Mkuu watu wa hivyo hawanaga elimu kubwa zaidi ya kipaji! But watu hawajui kuwa Mchoraji yoyote mwenye kipaji halisi, anawaza zaidi ya mtu wa kawaida, na IQ zao Ni kubwa kuliko watu wa kawaida! Pia wanaweza kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja!
 
Kipaji ndio kinachotafutwa unaweza kwenda shule then hukawa huna kipaji
Kipaji hakitafutwi mkuu! Huwa kipo always, otherwise huibuliwa na mtu mwingine kwa maana ya mtu mwingine kutambua kipaji chako!
 
Nashangaa siku hizi anasjida kubwa usoni!Wakati ameanza kusali ukubwani tu..kitu kinanishangaza sana..watu waliozaliwa Saudi Arabia au Dubai ..ambao huwa wameanza kusali toka wakiwa wadogo hawana sijda, lakini wabongo ambao wameijua dini ukubwani,wanasugua uso makusudi mpaka itokee sijda ili waonekane ni watu wadini.Ajabu sana...

Ndo nini hiyo mkuu, unaweza kuweka picha tukaiona kwa wale ambao hatufahamu ni nini?
 
nilicho sikia kutoka kwake mwenyewe ni kua hakupata nafasi ya kusoma elimu ya secondary

Nakumbuka alisema alisoma Malawi labda hadi kidato cha pili kisha akaja bongo na kumalizia kidato Cha nne. Malawi alikua anaishi na ndugu.......aliongea siku nyingi nimeshau sahau [emoji4]
 
Nashangaa siku hizi anasjida kubwa usoni!Wakati ameanza kusali ukubwani tu..kitu kinanishangaza sana..watu waliozaliwa Saudi Arabia au Dubai ..ambao huwa wameanza kusali toka wakiwa wadogo hawana sijda, lakini wabongo ambao wameijua dini ukubwani,wanasugua uso makusudi mpaka itokee sijda ili waonekane ni watu wadini.Ajabu sana...

Acha udini
 
Back
Top Bottom