Wasifu/Historia fupi ya Samia Suluhu Hassani. Aliishia kidato cha nne, Mwaka 2000 hakujua kufunga Ushungi, ni mwanaraktati

Wasifu/Historia fupi ya Samia Suluhu Hassani. Aliishia kidato cha nne, Mwaka 2000 hakujua kufunga Ushungi, ni mwanaraktati

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu.

Baba yake Mwalimu Mama yake Mama wa Nyumbani

Leo nimeona nipost hapa Historia kwa ufupi sana wa Samia Suluhu Hassan.

Yeye ni Mwanahabari, hakujua kifunga Ushungi, wanaume walikuwa wana mdhalilisha kwa kumuita kigego, ni mtu ambaye yupo haraka yupo mbele ya wakati, anajua kusoma mazingira yaliyomzunguka. Alipoteuliwa kuwa makamu wa Rais alilia sa na(pata picha na yale macho yake).

Alikuwa hajui kufunga Ushungi hadi alipofundishwa wakati anagombea, alikuwa anaachia nywele hadi wanamuita Lizungu, alikuwa anavaa Suruali sana zaidi ya Sister P.

Samia ukimtukana anakaa kimya hadi mnanisangaa mnaomtukana. Anefanya kazi saa kwenye NGOs hadi alikuwa anasafiri kwa basi Dar hadi Afrika Kusini.

Anasema kufika alipo ni mkono wa Mungu, hata kama humheshimu Samia, basi Mheshimu Mungu aliymfikisha alipo.

Msikilize hapa.
 
Salaam Wakuu.

Baba yake Mwalimu Mama yake Mama wa Nyumbani

Leo nimeona nipost hapa Historia kwa ufupi sana wa Samia Suluhu Hassan.

Yeye ni Mwanahabari, hakujua kifunga Ushungi, wanaume walikuwa wana mdhalilisha kwa kumuita kigego, ni mtu ambaye yupo haraka yupo mbele ya wakati, anajua kusoma mazingira yaliyomzunguka. Alipoteuliwa kuwa makamu wa Rais alilia sa na(pata picha na yale macho yake).

Alikuwa hajui kufunga Ushungi hadi alipofundishwa wakati anagombea, alikuwa anaachia nywele hadi wanamuita Lizungu, alikuwa anavaa Suruali sana zaidi ya Sister P.

Samia ukimtukana anakaa kimya hadi mnanisangaa mnaomtukana. Anefanya kazi saa kwenye NGOs hadi alikuwa anasafiri kwa basi Dar hadi Afrika Kusini.

Anasema kufika alipo ni mkono wa Mungu, hata kama humheshimu Samia, basi Mheshimu Mungu aliymfikisha alipo.

Msikilize hapa.
View attachment 2437182
Eti kachaguliwa na Mungu; siyo JPM ndiyo alikuchagua? Abusing God name. Huu ndiyo uwe mwisho wa U-Rais wa kurithi. Katiba mpyaaaaaaaaa!
 
Mkuu 'figga', leo umekuja kivingine kabisa. Kuna nini?

EeeeenHeeee!

Kumbe hayo kayasema mwenyewe, wewe ni tarishi tu!

Samia mwanaharakati?

Lakini pamoja na kuwa na urafiki na mungu, hajasema kakutana wapi na JK aliyemsogeza karibu zaidi na hapo alipo!

Hatma ya nchi kama Tanzania, ni kubahatisha tu. Hapa miaka inakatika tukipiga soga na mipasho! Kizazi kizima kitapita hivi hivi bila kuonja utamu wa nchi yao.
 
Sawa.....

Tuweke sasa na historia yako....

Ova
 
nikaangalia serikalini nikaona watu wanakwenda "too slow", Siku hizi wanakwenda too fast bila shaka.

"Ukisikiliza baraza la wawakilishi unaona kabisa hawa wapinzania wanatudhidi kitu", siku hizi vipi tunawadhidi kitu wapinzani ndani ya bunge na baraza la wawakilishi.

"Ukisikiliza baadhi ya mawaziri unasikia wanajibu hovyo ndio maana nikawa na shauku nikapambane nao", ~ Vipi siku hizi mawaziri hawajibu hovyo?.

Kumbe kushikwa mkono nako kumo? halafu huyu mtoto wa nani? katoka wapi? Vipi siku hizi hayapo hayo?..

Mama immediately tu amekuwa ndani ya baraza la uwakilishi na hapohapo uwaziri akiwa hajawahi kabisa kuwa mtumishi wa serikali ~ Mama was the genius eeeeh.
 
Salaam Wakuu.

Baba yake Mwalimu Mama yake Mama wa Nyumbani

Leo nimeona nipost hapa Historia kwa ufupi sana wa Samia Suluhu Hassan.

Yeye ni Mwanahabari, hakujua kifunga Ushungi, wanaume walikuwa wana mdhalilisha kwa kumuita kigego, ni mtu ambaye yupo haraka yupo mbele ya wakati, anajua kusoma mazingira yaliyomzunguka. Alipoteuliwa kuwa makamu wa Rais alilia sa na(pata picha na yale macho yake).

Alikuwa hajui kufunga Ushungi hadi alipofundishwa wakati anagombea, alikuwa anaachia nywele hadi wanamuita Lizungu, alikuwa anavaa Suruali sana zaidi ya Sister P.

Samia ukimtukana anakaa kimya hadi mnanisangaa mnaomtukana. Anefanya kazi saa kwenye NGOs hadi alikuwa anasafiri kwa basi Dar hadi Afrika Kusini.

Anasema kufika alipo ni mkono wa Mungu, hata kama humheshimu Samia, basi Mheshimu Mungu aliymfikisha alipo.

Msikilize hapa.
View attachment 2437182
Kama nakumbuka vizuri, kuna kipengee cha Katiba kinachosema Rais atakuwa na elimu ya Shahada ya Chuo Kikuu. Sijui kama hili ni kwa wale wanaogombea tu na si kwa anayerithi Urais kama Rais wa sasa alivyo. Hii ni kasoro ya Katiba kwa kuwa tumepata Rais asiyekidhi matakwa ya Katiba.
 
Kumbe ni saa kumi?! Wenzio sasa hivi ni saa saba mchana. Kwa akili zako za kipuuzi unajua JamiiForums inasomwa huko kwenu tu Nangurukuru?
figganifigga, wewe ni member mkongwe hapa JF kama sikosei wewe ni miongoni mwa member wa mwanzo mwanzo hapa JF sikutegeme jibu la aina hii la great thinker!!
 
Sawa

Mungu kamwinua,autumikie wito wake tu alioitiwa,asije akatumikia wito MPYA wa kupambania urais ujao!

KWA maana aridhike na alichopewa na Mungu,atakapopambanaia wito MPYA atakaribisha vita vipya! KWANINI kujichosha ewe mwana wa Suluhu!!!?

Wanaokuimbia mapambio ndio wanaotaka kukufelisha Ili upigane vita vipya ambavyo hukuvipanga kupigana!

Wewe pigania jukumu lako ulilolipokea MUNGU alilokupa usijipe lingine huna cha kupoteza!

Achana nao wanavopambana kwaajili ya huo!!

Wewe maliza kazi kaa pembeni waachie wao waamue kijiti Nani atachukua Baada YAKO!


"Mwambieni asome hii,itamsaidia!!!
 
Back
Top Bottom