Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
No content
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu edit hii post yako aisee unadhalilisha UtakatifuUmesahau ya upiga nyeto
[emoji23][emoji23]Umesahau ya upiga nyeto
Ndio kakadah kweli tupo na wadogo zetu.
pamoja janja.Ndio kaka
Duh. Tunaomba kazi gani tena hadi tunaambatanisha cv zetu?Huu ni wasifu wangu mimi Binadamu Mtakatifu
Umri: 18 (june 8 2004)
Dini: Mkristo Poli
Dini ya mama: Mkristo
Dini ya baba: Muislamu
Napenda: Kulala na kudevelop software mbalimbali, kucheka na marafiki
Sipendi: kukerwa/ huzuni
Uhusiano: Nipo singo sijawah kunaniliu
Kwanini nipo Jf: Just4Fun
Kabila: Msambaa
Rangi ya ngozi: Mweupe kiasi
Nini hufanya wakati nipo lonely: kukumbuka funny moments zangu
Kuzaliwa: Mapacha Me na Ke 😊
Nawewe weka sifa yako
Umri: 18 (june 8 2004)
Dini: Mkristo Poli
Dini ya mama: Mkristo
Dini ya baba: Muislamu
Napenda: Kulala na kudevelop software mbalimbali, kucheka na marafiki
Sipendi: kukerwa/ huzuni
Uhusiano: Nipo singo sijawah kunaniliu
Kwanini nipo Jf: Just4Fun
Kabila: Msambaa
Rangi ya ngozi: Mweupe kiasi
Nini hufanya wakati nipo lonely: kukumbuka funny moments zangu
Kuzaliwa: Mapacha Me na Ke 😊
We acha baba haya maisha ila ndevu sinaBinafsi wasifu wangu ni kwamba; Nilijiunga JF (enzi hizo ikiitwa Jambo Forums) wewe ukiwa na Umri wa miaka minne.
Na leo hii tayari ni Mkubwa mwenzangu..[emoji3]
Eeee ndio tena kwenye jukwaa pendwa la MMU tunaangalia tu dada zetu, kaka zetu, baba zetu, na hata babu zetu wakiandika ujinga tuKwa hiyo tupo na watoto zetu humu.[emoji848]
Sijaelewa hasa unamaanisha nn kuweka hii picha