Wasifu Mzito wa Profesa Mohammedi Janabi uliomkosha Rais Samia wenye ubobevu na ubingwa hususan katika Magonjwa ya Moyo

Wasifu Mzito wa Profesa Mohammedi Janabi uliomkosha Rais Samia wenye ubobevu na ubingwa hususan katika Magonjwa ya Moyo

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Majina kamili ni Profesa Mohamed Yakub Janabi ni mtaalamu wa magonjwa ya moyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mshauri wa Rais katika masuala ya afya.

Profesa amekua mtafiti mkuu wa majaribio ya chanjo ya VVU (HIV Trial vaccine), Amehudumu kama daktari bingwa hospitali ya taifa Muhimbili, Amekua country director wa Madaktari Afrika, amekua Daktari Binafsi wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete tangu mwaka 2005 mpaka sasa, amekua Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) tangu mwaka 2014 mpaka mwaka 2022, amekua Mkurugenzi Mtendaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) tangu Oktoba 2022 mpaka sasa na juzi ameteuliwa kama mshauri wa raisi katika masuala ya afya.

Profesa alipata shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu mwaka 1989 kutoka Kharkov Medical Institute huko Ukraine, Kisha masters ya Tropical Medicine mwaka 1994 kutoka chuo kikuu cha Queensland, Australia na baadae PhD ya Cardiology (magonjwa ya moyo) akiwa nchini Japan katika chuo kikuu cha Osaka ambako pia hapo hapo aliongeza Postdoctoral Fellowship ya Cardiology (magonjwa ya moyo).

Ni Profesa wa magonjwa ya moyo tangu mwaka 2003, mpaka sasa ni Mwenyekiti wa bodi ya THPS tangu 2022, mjumbe wa bodi ya chuo kikuu cha afya Muhimbili tangu 2022, Mjumbe wa bodi ya JKCI tangu 2022, mjumbe wa bodi SUA tangu mwaka 2016, mlezi wa Taasis ya lishe na kisukari Tanzania, mjumbe wa baraza la madaktari Tanzania, mjumbe wa TPHA, mjumbe wa Royal society of tropical medicine and hygiene, mjumbe wa Japanese society of vascular medicine, mjumbe wa American Heart Association na Mjumbe wa Japanese society of echocardiography

Profesa amepata tuzo za heshima kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), American College of Cardiology (FACC) lakini pia ni mwanachama wa Kudumu wa Medical University of South Carolina, Marekani. Profesa Janabi ameanzisha na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na mashirika makubwa kama Mending Kids (USA), Open Heart International (Australia), Save the Child's Heart (Israel), Sharjah Children’s Charity (UAE).

Profesa anaongea lugha 4 ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kijapan na Kirusi.

Profesa ameshiriki kwenye utafiti na kuandika scientific papers zaidi ya 77.

Andiko hili nimelikopi mahali na kuwaleteeni hapa na siyo andiko langu Binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
CV nzuri sana.

Sasa afanye mpango na mikakati ili tuwe na hospitali imara Tanzania, yenye hadhi na ubora na ufanisi sawa na hospitali yoyote bora duniani.

Kwa nini kutwa kucha iwe ni Kariakoo - oops! I mean, India na Bondeni kuwatibia wagonjwa wetu?!
 
Mama anamwogopa tu Janabi amehisi kilichompata mtangulizi wake kupitia huyu jamaa anakijua vyema. Ukiangalia kwasasa ni kama kwenye chama mazeri hakubaliki sana kwahiyo anawasiwasi Janabi anaweza kupewa tenda ya kupita naye so anaona njia nzuri ni kumsifia sana na kumpa kila fursa nzuri ili asiwe kinyume naye.

Yaani ni kama ana punguza urafiki wa Janabi na JK ili Janabi asitii maelekezo ya JK itakapofika mission ya kumla kichwa. Maana tunajua fika maprofessor wanapotolewa kwenye carrier zao na kupelekwa siasani kwenye maziwa na asali huwa wanakiri kwa vinywa vyao kuwa wametolewa jalalani.
 
Majina kamili ni Profesa Mohamed Yakub Janabi ni mtaalamu wa magonjwa ya moyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mshauri wa Rais katika masuala ya afya.

Profesa amekua mtafiti mkuu wa majaribio ya chanjo ya VVU (HIV Trial vaccine), Amehudumu kama daktari bingwa hospitali ya taifa Muhimbili, Amekua country director wa Madaktari Afrika, amekua Daktari Binafsi wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete tangu mwaka 2005 mpaka sasa, amekua Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) tangu mwaka 2014 mpaka mwaka 2022, amekua Mkurugenzi Mtendaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) tangu Oktoba 2022 mpaka sasa na juzi ameteuliwa kama mshauri wa raisi katika masuala ya afya.

Profesa alipata shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu mwaka 1989 kutoka Kharkov Medical Institute huko Ukraine, Kisha masters ya Tropical Medicine mwaka 1994 kutoka chuo kikuu cha Queensland, Australia na baadae PhD ya Cardiology (magonjwa ya moyo) akiwa nchini Japan katika chuo kikuu cha Osaka ambako pia hapo hapo aliongeza Postdoctoral Fellowship ya Cardiology (magonjwa ya moyo).

Ni Profesa wa magonjwa ya moyo tangu mwaka 2003, mpaka sasa ni Mwenyekiti wa bodi ya THPS tangu 2022, mjumbe wa bodi ya chuo kikuu cha afya Muhimbili tangu 2022, Mjumbe wa bodi ya JKCI tangu 2022, mjumbe wa bodi SUA tangu mwaka 2016, mlezi wa Taasis ya lishe na kisukari Tanzania, mjumbe wa baraza la madaktari Tanzania, mjumbe wa TPHA, mjumbe wa Royal society of tropical medicine and hygiene, mjumbe wa Japanese society of vascular medicine, mjumbe wa American Heart Association na Mjumbe wa Japanese society of echocardiography

Profesa amepata tuzo za heshima kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), American College of Cardiology (FACC) lakini pia ni mwanachama wa Kudumu wa Medical University of South Carolina, Marekani. Profesa Janabi ameanzisha na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na mashirika makubwa kama Mending Kids (USA), Open Heart International (Australia), Save the Child's Heart (Israel), Sharjah Children’s Charity (UAE).

Profesa anaongea lugha 4 ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kijapan na Kirusi.

Profesa ameshiriki kwenye utafiti na kuandika scientific papers zaidi ya 77.

Andiko hili nimelikopi mahali na kuwaleteeni hapa na siyo andiko langu Binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
CHAWA Lucas Mwashambwa katika harakati ya kusakasaka teuzi
 
Majina kamili ni Profesa Mohamed Yakub Janabi ni mtaalamu wa magonjwa ya moyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mshauri wa Rais katika masuala ya afya.

Profesa amekua mtafiti mkuu wa majaribio ya chanjo ya VVU (HIV Trial vaccine), Amehudumu kama daktari bingwa hospitali ya taifa Muhimbili, Amekua country director wa Madaktari Afrika, amekua Daktari Binafsi wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete tangu mwaka 2005 mpaka sasa, amekua Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) tangu mwaka 2014 mpaka mwaka 2022, amekua Mkurugenzi Mtendaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) tangu Oktoba 2022 mpaka sasa na juzi ameteuliwa kama mshauri wa raisi katika masuala ya afya.

Profesa alipata shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu mwaka 1989 kutoka Kharkov Medical Institute huko Ukraine, Kisha masters ya Tropical Medicine mwaka 1994 kutoka chuo kikuu cha Queensland, Australia na baadae PhD ya Cardiology (magonjwa ya moyo) akiwa nchini Japan katika chuo kikuu cha Osaka ambako pia hapo hapo aliongeza Postdoctoral Fellowship ya Cardiology (magonjwa ya moyo).

Ni Profesa wa magonjwa ya moyo tangu mwaka 2003, mpaka sasa ni Mwenyekiti wa bodi ya THPS tangu 2022, mjumbe wa bodi ya chuo kikuu cha afya Muhimbili tangu 2022, Mjumbe wa bodi ya JKCI tangu 2022, mjumbe wa bodi SUA tangu mwaka 2016, mlezi wa Taasis ya lishe na kisukari Tanzania, mjumbe wa baraza la madaktari Tanzania, mjumbe wa TPHA, mjumbe wa Royal society of tropical medicine and hygiene, mjumbe wa Japanese society of vascular medicine, mjumbe wa American Heart Association na Mjumbe wa Japanese society of echocardiography

Profesa amepata tuzo za heshima kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), American College of Cardiology (FACC) lakini pia ni mwanachama wa Kudumu wa Medical University of South Carolina, Marekani. Profesa Janabi ameanzisha na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na mashirika makubwa kama Mending Kids (USA), Open Heart International (Australia), Save the Child's Heart (Israel), Sharjah Children’s Charity (UAE).

Profesa anaongea lugha 4 ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kijapan na Kirusi.

Profesa ameshiriki kwenye utafiti na kuandika scientific papers zaidi ya 77.

Andiko hili nimelikopi mahali na kuwaleteeni hapa na siyo andiko langu Binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mama akoshwe vyote na huyo mwamba lakini kamwe asije akaingia mkenge kutaka jamaa awe Daktari wake wa moyo, atajuta. Mwamba katika level ya kibingwa hana hiyo taaluma.
 
Mama akoshwe vyote na huyo mwamba lakini kamwe asije akaingia mkenge kutaka jamaa awe Daktari wake wa moyo, atajuta. Mwamba katika level ya kibingwa hana hiyo taaluma.
Soma hiyo cv yake uone namna alivyobobea katika eneo hilo tofauti na andiko lako ulilotaka kuleta upotoshaji wako kuwa hana ubobezi.
 
Mmeanza.
Wakati nasoma comments za mwendazake mmoja huyu Professor alitajwa pale.

Sasa mmeanza
 
Mama akoshwe vyote na huyo mwamba lakini kamwe asije akaingia mkenge kutaka jamaa awe Daktari wake wa moyo, atajuta. Mwamba katika level ya kibingwa hana hiyo taaluma.
Soma hiyo cv yake uone namna alivyobobea katika eneo hilo tofauti na andiko lako ulilotaka kuleta upotoshaji wako kuwa hana ubob
WHO wana vigezo vingi na tofauti tofauti, sio kusoma sana.
Kigezo gani ambacho hana Profesa?
 
Mama anamwogopa tu Janabi amehisi kilichompata mtangulizi wake kupitia huyu jamaa anakijua vyema. Ukiangalia kwasasa ni kama kwenye chama mazeri hakubaliki sana kwahiyo anawasiwasi Janabi anaweza kupewa tenda ya kupita naye so anaona njia nzuri ni kumsifia sana na kumpa kila fursa nzuri ili asiwe kinyume naye.

Yaani ni kama ana punguza urafiki wa Janabi na JK ili Janabi asitii maelekezo ya JK itakapofika mission ya kumla kichwa. Maana tunajua fika maprofessor wanapotolewa kwenye carrier zao na kupelekwa siasani kwenye maziwa na asali huwa wanakiri kwa vinywa vyao kuwa wametolewa jalalani.
Acha uzushi wako ndugu yangu.
 
Janabi atampumzisha mazima huyu mama 2025, apende asipende. Mama anajichosha bure tu kumpa mashavu yote hayo
 
Majina kamili ni Profesa Mohamed Yakub Janabi ni mtaalamu wa magonjwa ya moyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mshauri wa Rais katika masuala ya afya.

Profesa amekua mtafiti mkuu wa majaribio ya chanjo ya VVU (HIV Trial vaccine), Amehudumu kama daktari bingwa hospitali ya taifa Muhimbili, Amekua country director wa Madaktari Afrika, amekua Daktari Binafsi wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete tangu mwaka 2005 mpaka sasa, amekua Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) tangu mwaka 2014 mpaka mwaka 2022, amekua Mkurugenzi Mtendaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) tangu Oktoba 2022 mpaka sasa na juzi ameteuliwa kama mshauri wa raisi katika masuala ya afya.

Profesa alipata shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu mwaka 1989 kutoka Kharkov Medical Institute huko Ukraine, Kisha masters ya Tropical Medicine mwaka 1994 kutoka chuo kikuu cha Queensland, Australia na baadae PhD ya Cardiology (magonjwa ya moyo) akiwa nchini Japan katika chuo kikuu cha Osaka ambako pia hapo hapo aliongeza Postdoctoral Fellowship ya Cardiology (magonjwa ya moyo).

Ni Profesa wa magonjwa ya moyo tangu mwaka 2003, mpaka sasa ni Mwenyekiti wa bodi ya THPS tangu 2022, mjumbe wa bodi ya chuo kikuu cha afya Muhimbili tangu 2022, Mjumbe wa bodi ya JKCI tangu 2022, mjumbe wa bodi SUA tangu mwaka 2016, mlezi wa Taasis ya lishe na kisukari Tanzania, mjumbe wa baraza la madaktari Tanzania, mjumbe wa TPHA, mjumbe wa Royal society of tropical medicine and hygiene, mjumbe wa Japanese society of vascular medicine, mjumbe wa American Heart Association na Mjumbe wa Japanese society of echocardiography

Profesa amepata tuzo za heshima kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), American College of Cardiology (FACC) lakini pia ni mwanachama wa Kudumu wa Medical University of South Carolina, Marekani. Profesa Janabi ameanzisha na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na mashirika makubwa kama Mending Kids (USA), Open Heart International (Australia), Save the Child's Heart (Israel), Sharjah Children’s Charity (UAE).

Profesa anaongea lugha 4 ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kijapan na Kirusi.

Profesa ameshiriki kwenye utafiti na kuandika scientific papers zaidi ya 77.

Andiko hili nimelikopi mahali na kuwaleteeni hapa na siyo andiko langu Binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umetoka kuwa chawa sasa umegeuka kunguni. Na sifa kuu ya kunguni ni kunuka.
Unaeleza wasifu wa Prof Janabi lakini sifa na mapambio ni kwa mama yako! Hivi unaweza kutusaidia kujua ushiriki wa huyo "mama yako" katika maendeleo ya kitaaluma ya Profesa Janabi?
Haya ndio mafuta yanayopakwa kwa mgongo wa chupa!
 
Majina kamili ni Profesa Mohamed Yakub Janabi ni mtaalamu wa magonjwa ya moyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mshauri wa Rais katika masuala ya afya.

Profesa amekua mtafiti mkuu wa majaribio ya chanjo ya VVU (HIV Trial vaccine), Amehudumu kama daktari bingwa hospitali ya taifa Muhimbili, Amekua country director wa Madaktari Afrika, amekua Daktari Binafsi wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete tangu mwaka 2005 mpaka sasa, amekua Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) tangu mwaka 2014 mpaka mwaka 2022, amekua Mkurugenzi Mtendaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) tangu Oktoba 2022 mpaka sasa na juzi ameteuliwa kama mshauri wa raisi katika masuala ya afya.

Profesa alipata shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu mwaka 1989 kutoka Kharkov Medical Institute huko Ukraine, Kisha masters ya Tropical Medicine mwaka 1994 kutoka chuo kikuu cha Queensland, Australia na baadae PhD ya Cardiology (magonjwa ya moyo) akiwa nchini Japan katika chuo kikuu cha Osaka ambako pia hapo hapo aliongeza Postdoctoral Fellowship ya Cardiology (magonjwa ya moyo).

Ni Profesa wa magonjwa ya moyo tangu mwaka 2003, mpaka sasa ni Mwenyekiti wa bodi ya THPS tangu 2022, mjumbe wa bodi ya chuo kikuu cha afya Muhimbili tangu 2022, Mjumbe wa bodi ya JKCI tangu 2022, mjumbe wa bodi SUA tangu mwaka 2016, mlezi wa Taasis ya lishe na kisukari Tanzania, mjumbe wa baraza la madaktari Tanzania, mjumbe wa TPHA, mjumbe wa Royal society of tropical medicine and hygiene, mjumbe wa Japanese society of vascular medicine, mjumbe wa American Heart Association na Mjumbe wa Japanese society of echocardiography

Profesa amepata tuzo za heshima kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), American College of Cardiology (FACC) lakini pia ni mwanachama wa Kudumu wa Medical University of South Carolina, Marekani. Profesa Janabi ameanzisha na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na mashirika makubwa kama Mending Kids (USA), Open Heart International (Australia), Save the Child's Heart (Israel), Sharjah Children’s Charity (UAE).

Profesa anaongea lugha 4 ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kijapan na Kirusi.

Profesa ameshiriki kwenye utafiti na kuandika scientific papers zaidi ya 77.

Andiko hili nimelikopi mahali na kuwaleteeni hapa na siyo andiko langu Binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe wasifu wako ni nini? Maana UCHAWA sio sifa nzuri.
 
Umetoka kuwa chawa sasa umegeuka kunguni. Na sifa kuu ya kunguni ni kunuka.
Unaeleza wasifu wa Prof Janabi lakini sifa na mapambio ni kwa mama yako! Hivi unaweza kutusaidia kujua ushiriki wa huyo "mama yako" katika maendeleo ya kitaaluma ya Profesa Janabi?
Haya ndio mafuta yanayopakwa kwa mgongo wa chupa!
Acha wivu wako wewe.
 
Back
Top Bottom