Wasifu wa Bernard Kamilius Membe


Hakika mkuu,
Mpe salamu popote alipo sasa 2015 alikwama wapi mzee wangu huyu ila hakuna shaka mwambie 2020 kazi na bata
 
What kind of rubbish CV is this?????
 
Kama CV tu wapo wengi tena wengine walichukua fomu za kugombea urais kama yeye.
Atulie tu ameisha tambua hana mkia, basi asubiri 2025 labda mkia utakiwa umeota tena.
 

Mbona ina akili ndogo sana? Si huwa mnasema ni mbobevu na kapiga mifumo yote? Sasa kilimshinda nini wakati alichukua fomu?

unafikiri ccm ikimpitisha Membe 2020 na kumuacha Magufuli ndio chadema mtakuwa mmeshinda ni kwenda Ikulu?
 

Usifikiri kila asiyemkubali JPM humu ndani ni CHADEMA.
Kuendelea na JPM madarakani ni kuirudisha nchi miaka 70 nyuma kidemokrasia, tumeshatoka huko twende na mtu anayeamini katika demokrasia ya kweli na maendeleo ya watu na vitu, Siyo mtu anayeamini katika maendeleo ya vitu pekee.

Membe hataonea wapinzani kwa sababu amepikwa kiuongozi, anaijua nchi nje ndani na amekuwa groomed kuwa kiongozi, siyo sawa na watu waliookota uongozi kama zali la mentali!, hii ya kuokotaokota viongozi ndiyo maana kuna mambo ya kutekanatekana nchini kwa sasa. Hali inatisha sana!
 
Natangaza ofa kwa yeyote ambaye ni cartoonist achore BCM na JPM wakiwa kwenye jukwaa la mchezo wa masumbwi huku refa kavaa shati la kijani na mabondia hao wanavuja damu kuonyesha walivyo jeruhiana.
Anione pm tukubaliane tenda hiyo
 
Natangaza ofa kwa yeyote ambaye ni cartoonist achore BCM na JPM wakiwa kwenye jukwaa la mchezo wa masumbwi huku refa kavaa shati la kijani na mabondia hao wanavuja damu kuonyesha walivyo jeruhiana.
Anione pm tukubaliane tenda hiyo

Membe Kama Muhammad Ali na JPM kama Sonny Liston
Membe anajump like a butterfly anasting like a bee
JPM lazima atolewe knockout!
 
Kama CV tu wapo wengi tena wengine walichukua fomu za kugombea urais kama yeye.
Atulie tu ameisha tambua hana mkia, basi asubiri 2025 labda mkia utakiwa umeota tena.
Anzisha uzi weka CV zao mkuu
 
Hapo Ofisi ya Rais fafanua vizuri! Ofisi ya Rais alikuwa kama nani?

Vipi ana vithibitisho vya uraia wake? Mkoa Lindi wanapakana na Nchi gani? Maana hawachelewi kusema wana mashaka na Uraia wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…