Wasifu wa Bernard Kamilius Membe

Wasifu wa Bernard Kamilius Membe

Kuna Ma professor wamepewa kusimamia Taasisi mbalimabili lakini performance yao iko below expectations za watu walioko chini yao.
Ninachotaka kusema CV haisaidii kuongoza nchi bali uongozi ni karama kutoka kwa mwenyezi Mungu.
 
Kuna Ma professor wamepewa kusimamia Taasisi mbalimabili lakini performance yao iko below expectations za watu walioko chini yao.
Ninachotaka kusema CV haisaidii kuongoza nchi bali uongozi ni karama kutoka kwa mwenyezi Mungu.
Jiwe ana karama unataka kuwadanganya watanzania sio?
 
Kuna Ma professor wamepewa kusimamia Taasisi mbalimabili lakini performance yao iko below expectations za watu walioko chini yao.
Ninachotaka kusema CV haisaidii kuongoza nchi bali uongozi ni karama kutoka kwa mwenyezi Mungu.

Tatizo hao ma Professor wanaingiza na siasa
 
Hahaha anatafuta kazi, au mimi ndio sielewi?!
Naye kashindwa kujiajiri kama mimi?! Kumbe kuajiriwa raha?!
 
Cv imeshiba lkn nchi yetu imeendelea kunyonywa kwa mikataba mibovu na ukwapuaji wa mali za umma, ubinafisishaji usio tija. Kwa kweli hatuhitaji sana CV tunataka maendeleo bila kujali mtu amesoma nini au ametokea chama gani haitatusaidia
 
Usifikiri kila asiyemkubali JPM humu ndani ni CHADEMA.
Kuendelea na JPM madarakani ni kuirudisha nchi miaka 70 nyuma kidemokrasia, tumeshatoka huko twende na mtu anayeamini katika demokrasia ya kweli na maendeleo ya watu na vitu, Siyo mtu anayeamini katika maendeleo ya vitu pekee.

Membe hataonea wapinzani kwa sababu amepikwa kiuongozi, anaijua nchi nje ndani na amekuwa groomed kuwa kiongozi, siyo sawa na watu waliookota uongozi kama zali la mentali!, hii ya kuokotaokota viongozi ndiyo maana kuna mambo ya kutekanatekana nchini kwa sasa. Hali inatisha sana!
Kwahiyo unapingana na mzee mstaafu aliyesema kuwa miaka 3 ya jpm wao awamu 3 hawakufika yaani takribani 27 tulikuwa hatuendi?
 
ʜᴀᴛᴀ ᴋᴀᴍᴀ ʜᴀᴛᴀᴘᴀᴛᴀ ᴜƦᴀɪS ʟᴋɴ ᴋᴡᴀ SᴀSᴀ ʙᴀᴅᴏ ᴀɴᴀᴍᴛᴀҒᴜɴᴀ ʙᴀʙᴀ ᴊᴇSᴋᴀ,ᴏɢᴏᴘᴀ ᴀɴʏᴇᴊɪᴛᴀᴊɢᴀᴢᴀ ᴋᴜᴡᴀ `ʜᴀʏᴜᴘᴏ ᴡᴀ ᴋᴜɴɪᴢᴜɪᴀ ᴋᴜɢᴏᴍʙᴇᴀ ᴜƦᴀɪS 2020' ʜᴀʏᴜᴋᴏ ᴘᴇᴋᴇᴇ ʏᴀᴋᴇ
 
Usifikiri kila asiyemkubali JPM humu ndani ni CHADEMA.
Kuendelea na JPM madarakani ni kuirudisha nchi miaka 70 nyuma kidemokrasia, tumeshatoka huko twende na mtu anayeamini katika demokrasia ya kweli na maendeleo ya watu na vitu, Siyo mtu anayeamini katika maendeleo ya vitu pekee.

Membe hataonea wapinzani kwa sababu amepikwa kiuongozi, anaijua nchi nje ndani na amekuwa groomed kuwa kiongozi, siyo sawa na watu waliookota uongozi kama zali la mentali!, hii ya kuokotaokota viongozi ndiyo maana kuna mambo ya kutekanatekana nchini kwa sasa. Hali inatisha sana!
Kakake JK alishindwa kumpitisha.....Mungu hakuwa upande wake Membe ........ Ongeza juhudi za kumpigia debe....
Kwa 2020 JPM anatosha.....
 
Sidhan kama anatafuta. Kwa level yake ya maisha aliyofikia. Sidhan kama ana mpango huo
Hahaha sasa hiyo ni biography au CV yake yanini humu, au siasa zimekolea?
Anahitaji kazi pia, kukaa bila kazi ni shida sana.
Kuna mtu alistaafu lakini kila diku adubuhi alikuwa anajiandaa na kwenda kazini. Alikuwa anakumbushwa kila siku kwamba kesha staafuhakuamini, mpaka alipoambiwa yuko likizo ndio akatulia nyumbani.
Labda hajakubali matokeo.
 
Jimboni kwake pako vipi? Au alijikita kwenye kusafiri nchi baada ya nchi,bara baada ya bara.
 
Back
Top Bottom