Wasifu wa Bernard Kamilius Membe

Hauziki hata mngeweka nini huyu jamaa yenu mnapoteza muda.
 
Hebu tukumbushe na CV ya mpangaji wa sasa pale Magogoni Street....

Nia ni njema tu, tufanye comparisons....

Hata hivyo tukumbuke jambo moja, kuwa, determinant ya mtu kuwa kiongozi bora, haijengwi na ktk msingi wa elimu na nyadhifa alizowahi kushika pekee japo kwa % kidogo inachangia...

Uongozi kwa kiasi kikubwa ni karama toka kwa Mungu hususani ktk uongozi wa kuongoza mamia, maelfu na mamilioni ya watu japo shule na uzoefu vinaongeza points kadhaa kuwa ktk viwango bora....

However, huyu Magufuli Pombe John, hana sifa ya karama ya uongozi na ndiyo maana anatumia nguvu nyingi sana ktk "kuitawala" nchi hii na watu wake badala ya AKILI + MAARIFA + HEKIMA + BUSARA = KARAMA ya uongozi....

Huyu ndugu (Pombe Magufuli) so kiongozi bali ni pure mtawala!!
 
Nafikiri idea si ya kutafuta kazi. Ni kuonyesha tu huyu anae semwa historia yake kiufupi.
Kama kuomba kazi kuna njia za kuomba kazi. Sion connection ya siasa hapa.
Kuomba kazi kuna utaratib wake.. umeshaona wap mtu anaomba kaz kwa kuweka cv yake kwenye social media.

And huyu sio wakwanza cv yake kuwekwa humu. Wamewekwa akina ndugai. Wabunge mbali mbali wa ccm na upinzani. So sio jambo geni
 
Hahaha iko jukwaa la siasa, na huoni connections na siasa?! Mi natania to, isijali ndugu.
 
Mnatapatapa sana. Nchi hii haiwezi ongozwa na Membe mnapoteza muda
 
Kakake JK alishindwa kumpitisha.....Mungu hakuwa upande wake Membe ........ Ongeza juhudi za kumpigia debe....
Kwa 2020 JPM anatosha.....

Hata JPM mwaka 2020 huenda akashindwa kujipitisha

Membe aendelee kupiga Jaramba tu, kupashapasha Misuli

Kama ipo ipo tu, kazi ni kwenda kuichukua tu basi!
 
pamoja na CV nzito,tunataka mtu mwenye kuthubutu kupambana na ufisadi. Nchi ilididimia kiuchumi kwa sababu ya ufisadi. JPM ni pekee anaweza na amepiga hatua kubwa.
 
pamoja na CV nzito,tunataka mtu mwenye kuthubutu kupambana na ufisadi. Nchi ilididimia kiuchumi kwa sababu ya ufisadi. JPM ni pekee anaweza na amepiga hatua kubwa.

JPM hajapambana na ufisadi, anapambana na wanaompinga

Ripoti ya Mruma ya Makinikia iliwataja kwa majina waliotufikisha hapa, umewahi kusikia hata mmoja aliyefikishwa mahakamani?

Lugumi yuko mahakama gani?
 

Huyu anatosha aisee kwa cv hii.tunataka nini tena.

Ni mtu anayejua siasa.nanahisi ni mwenye fikra pana.
 
What kind of rubbish CV is this?????
Well isiwe noma, weka CV zako au za mwajiri wako ili tulinganishe. Kama wewe au mwajiri wako hamna elimu ya uongozi na elimu ya siasa ya uchumi hamfai kuongoza nchi. Uongozi huanzia utotoni kuanzia shule ya msingi, sekondari hadi chuo kikuu. Je wewe na mwajiri wako mliwahi kuwa viongozi ktk hizo ngazi za awali! Kama jibu ni hapana basi hamfai wala hamna sifa za kuwa viongozi wa Watanzania.
 
Mkuu umenena Rais lazima uwe na ufahamu mkubwa na mambo mbali mbali ya kimataifa na sio kuapply knowledge ya Uchungaji Ng'ombe na Mbuzi kwa Wananchi Mzee wa Magogoni anatuchunga kwa fimbo aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…