Wasifu wa Bernard Kamilius Membe

Alipo maliza mafunzo ya JKT mujibu wa sheria akaajiriwa ofisi ya Rais???? Aaaah mkisifia Sana mnachamba.. dhumuni Lenu limehaeibika , mkajipange Tena...
 
Hivi Mpangaji wa sasa wa Magogoni akiamua kiroho safi kukaa pembeni na kumpisha Membe kwani tatizo liko wapi?, nchi hii yetu sote, kama ni CCM, hicho ni chama chao wote, kwa nini tugombee fito wakati tunajenga nyumba moja?

Anachopaswa kufanya Mpangaji wetu wa sasa ni kusema Jamani eeh, kazi mliyonituma kwa miaka mitano nimefanya kadri ya uwezo wangu nimefikia hapa nimeshindwa pale, nimeshindwa kupunguza umasikini wa watu, nimeshindwa kutatua suala la korosho, kilio cha wakulima na wafanyakazi kinaninyima usingizi na pia suala la watu kutekwa limekuwa mzigo mkubwa kwangu kwa hiyo naomba mwingine aendelee anisaidie nilipofikia

Hii itasaidia kupunguza migogoro isiyo na lazima ndani ya Chama na Membe kiroho safi atagombea na akishinda basi Mambo makubwa atakayofanya yatakuwa kwa manufaa yetu sote hata Mpangaji wetu na vizazi vyake!.

Kama kuna mtu yupo karibu naye, amwambie tu kiroho safi kuwa kama vipi akae pembeni asichukue fomu 2020, amwache braza Membe achukue fomu akarekebishe mambo.
 

mbona mengine huandiki. Tz JPM anatosha
 
Hata baadhi ya wahusika wakuu wa jamiiforums wameingia kwenye mtego huu. Maana ukimsema Membe vibaya thread inakuwa deleted.

Mimi nasema MEMBE KAMWE HATOKUWA RAIS WA TANZANIA. LABDA AWE RAIS NDANI YA TANZANIA. Mfano Rais wa Manzese au Rais wa TFF.

Labda nife. Ila siwezi acha inchi yangu ije tawaliwa na wahuni tena. Majizi siwezi yaruhusu yatawale nchi yangu pendwa.

SAYING NO TO MEMBE IS SAVING TANZANIA. Kama mnamtaka sana mfanyeni rais wa familia zenu.
 
Haya tuma salama kwa watu watatu mtoa mada.
 
Inaonekana umelala usingizi wa mang'am ng'am Sana. Asubuhi yote hii unaanza kumuwazia mume wa mtu?
 
Ngoja tujenge uchumi kwanza mkuu. Demokrasia itakuka baadae 2025
 
CV imeshiba...hebu weka na CV ya mwalimu wa Kemia tulinganishe mkuu

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mwaka 1978, Ndugu Membe alipata Mafunzo ya sheria za Jinai na usalama wa nchi, nchini Uingereza.

hapa yupo vizuri kama haya mambo alifanyia huko U.k
Kama alipata mwaka 1978 hawezi kuwa vuzuri sasa, unless tuonyeshwe kama aliattebd trainings na mafunzo kama hayo kwa siku za karibuni maana dunia ya 1978 na ya Sasa ni Mbingu na Ardhi

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…