Wasifu wa Bernard Kamilius Membe

Gymkhana!!!!....huko utapasikia tu kwa akina mo. Sisi wengine kwetu ni kigogo mitaroni, tukiurumiwa saaana basi tutabwagwa ununio huko....tena huku mdomo umevimba kwa kelbu za ajabu,, wakati mwenzetu mo karudi mdomo unanukia mapiza, mabaga utafikiria alikuwepo Serena hotel.
.......Nawaangalia tu ,mtakavyoenda kutupwa Gymkhana.
 

We jamaa wewe umetoa nondo kali utadhani shivji au mabala kengeza. Big up kwa sana
 
Yaani kakulia Ikulu, kalelewa Ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…