Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Kwenye misiba utani ni kitu cha kawaida sana,huwezi jua kama anautani na ukoo huo au anautani na kabila hilo.

ukoo ndo ulie mshangaa,ingekua utani nisinge poteza mdaa kuandika....huyo alikua na uchuu sana wa madaraka na ndomana ubunge wake mwenyewe unamdhuru!!
 
Kwenye misiba utani ni kitu cha kawaida sana,huwezi jua kama anautani na ukoo huo au anautani na kabila hilo.

ukoo ndo ulie mshangaa,ingekua utani nisinge poteza mdaa kuandika....huyo alikua na uchuu sana wa madaraka na ndomana ubunge wake mwenyewe unamdhuru!!
 
 
unajua kuna watu kama mwenye thread hii ndiyo type ya watu tulionao ccm na serikalini for that matter,elimu na uongozi wapi
?wangapi wana ma degree wanashindwa kuendesha nyumba zao utalinganisha na Lema,acheni hizo naona mna hamu ya harufu ya damu,ndiyo jibu pekee kwa Tanzania,Mungu ibariki Tanzania
 
Viongozi wote wa serikali wamesoma, lakini ni nini wanachofanya? We dont care about elimu,
 



........ Lakini alipoanza kukariri maneno hayo, kuhusu taratibu ngumu za mikopo kwa wanawake, wakili Mughwai aliingilia kati na kumtaka ajirejeshe nyuma na kuzungumza kama vile anahutubia mkutano wa hadhara mwaka 2010, kitendo kilichomfanya mbunge huyo kuanza kwa kauli mbiu na salama ya Chadema ya ‘Peoples’ huku wasikilizaji wakiitikia power….


Kipande hiki kimenifurahisha sana yaani inabidi wakili achanganyikiwe. Kweli Lema wewe noma
 
unataka kusema wizi wa viongozi wa ccm unahitaji degree kuelewa,waache ccm kaburi lake lipo arusha,kama walivyoenda kuuwa azimio la arusha zanzibar,nao wanafia arusha,Chadema hata wakaweka jiwe na mgombea wa ccm pale arusha jiwe litapata kura nyingi wantafuta pa kufujia pesa za walala hoi
 
Kama uongozi ungekuwa elimu basi nchi yetu ingekuwa sawa na 'tiger countries'
 
wekeni ushabiki chini,bunge hawako makini kwa taarifa za hakika hakuna mbunge anayeambatanisha cv yake na vivuli vya vyeti,hivyo unaweza kusema chochote wakakubali then ni haki yetu kujua elimu na wasifu wa viongozi wetu
 
Inawezekana kusoma elimu ya sekondari kwa miaka miwili achana na mitatu, ni kwa njia ya watahiniwa huru. Na kama unaweza kufanya mtihani kama mtahiniwa huru unaweza kuanza maandalizi hata ukiwa darasa la 7. Tatizo ni kama alisoma formal school, ila kama ni alifanya kama mtahiniwa huru inawezekana. fanya utafiti kidogo.
 
tunaangalia uwezo wa mtu katika uongozi na si elimu ya mtu katika uongozi, babu zetu hawajui hata kusoma lakini wametuongoza kwa busara
 
Jamani naomba ieleweke swala hapa sio elimu bali perfomance wangapi wana elimu mbovu duniani but very strategic matajiri wangapi tunawajua no elimu lakini mabo safi. Sioni sababu tya kucomment elimu kama mtu anafanya kazi ipasavyo. Utasemaje kuhusu wanaotukana alafu mwisho wanaomba msamaha kana kwamba hukujua unatukana.
 
tunaangalia uwezo wa mtu katika uongozi na si elimu ya mtu katika uongozi, babu zetu hawajui hata kusoma lakini wametuongoza kwa busara
Wakati huu hapakuwa na sheria ya kuandikwa wala mikataba ya kimataifa.bila elimu wanakuwa hawajiamini,wakiona karatasi na kingereza ni kutetemeka tu.hivi mkuu bila wabunge kuwa na elimu nani? Atabadilisha sera ya madini,na nyingine kibao ambazo ni mbovu ajabu.ebu tafuta tu gvt public yeyote,then tafakari mtu kama lusinde atachangia nn?.
 
kikwete katufikisha wapi???...acha kutumiwa wewe utaendelea kubaki na njaa zako ivo ivo...
 
Elimu husaidia sana kufunguka, lakini wengi wenye elimu wanatuangusha. Labda kwa sababu ya copy and paste.
 
so what? it is better 4 him he has shown the ability asleader despite of what of kind of cv He has! He will win ur the looser!
 
HATUTAKI ELIMU YA MTU, TUNATAKA MCHANGO WAKE KATIKA JAMII, LEMA ANAOMCHANGO MKUBWA ndo maana namkubali. Hao maprof wamefanya nini kama sio kutuibia tu, angalia mawaziri wasomi wamefanya nini hadi leo? fikiria KAWAWA, SOKOINE, BIBI TITI na wengine ambao shule ni ndogo je?
 
hiyo sekondari kolila ilikuwa ni a-level na kumbuka a-level mwaka wa masomo ulikuwa unaanza july na kuisha may.so no wonder alianza 1991 na kumaliza 1993
 
Nimefuatilia hoja zako zote na nimegundua huna lolote zaidi ya chuki binafsi,kote ulikochangia kuusu lema point yako ya msingi imekua ni personality na ulipoona haueleweki umetafuta jingine la msiba

Ushauri wangu usiumize sana kichwa kuwashawishi wasio shawishika,wewe mchague umpendae na wengine tuache tuamue wenyewe.
 
Lameck wa Rorya ana elimu gani, hata kujenga hoja hajui zaidi ya kuhonga na kuwadanganya wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…