Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Darasa la saba unaruhusiwa kuwa mbunge ila tu uwe unajua kusoma na kuandika..........

Kuna Mbunge wa Njombe Kaskazini anaitwa Deo Sanga almaarufu JAH PEOPLE yeye kaishia darasa la pili. HAJAWAHI kujiendeleza tena kwenye kusoma zaid4 ya kuanza tuition ya kiingereza baada ya kupata ubunge.
 
Hebu niwekeni sawa wana JF, kwani daraza la saba na Form four huwezi kuwa mbunge??? Na kama nimeishia form four na profile ya bunge inasema STD 7 ni kosa la nani??
tuje kwenye ukweli tu DARAZA la saba hakuna sasa ya nini kudanganya ili uonekane wa majuu hivi tukileta na USHAHIDI na mambo ya afande ZOMBE si ndio watu humu jamvini watakasirika kuna ushabiki mwingine UNAKERA
 
mbona socrates tunamheshimu sana mwanafalsa wa zamani lakini alijenga msingi wa falsafa ambayo ndiyo inatumika vyuo vikuu ,swala tuna angalia uwezo wala sio vyeti wangapi wanavyeti vikubwa lakini wameshindwa kukomboa mwacheni Lema wetu.
 
Rais wa Afrika Kusini,Jackob Zuma,hakuwahi kukaa darasani.Kadhalika,Waziri mkuu wa Uingereza wa zamani,Tony Blair, hajawahi kukaa darasani kujifunza.Hawa wawili wana uwezo mkubwa wa kufikiri na kufafanunua masuala kuliko nyie madokta wa heshima mliojazana Ikulu hadi bungeni.....
Hata baba wa falsafa,Socrates hakuwahi kukaa darasani leo tunatumia mawazo na fikra zake!!
 


Mimi naona tuanze kwanza kumjadili Livingstone Lusinde aliyeishia darasa la saba
 
Hujamuelewa huyu hapo kwenye post yake katumia bonge la metaphoric language. Hivyo mapovu yamekutoka bure pasipo yeyote.
Nimesoma post ya Eza na jibu la jamaa,msamehe bure mkuu hapa JF kuna tofauti kubwa sana za U Great Thinker.
 

Jibu la hapo penye red:

WIZI NA UTAPELI
 
Dr Balali alikuwa na PHD na marehemu rais Samora Matchel wa Msumbiji alikuwa na elimu ya kawaida hebu linganisha hao wawili...La muhimu ni utumishi uliotukuka mwisho fuatilia elimu ya Abraham Lincolin na Jacob Zuma
 
Suala hapa siyo amekomea darasa la ngapi . Suala hapa ni kusema uongo , unajidai umesoma Chou kikuu ilhali hata secondari hujasoma. Katiba haina sharti la elimu ya Chou kikuu.kinachogomba ni kusema uongo. Unakuwaje kiongozi aw kitaifa na wewe ni mwongo kiasi hicho!
 

Viongozi wengi chadema kwenye suala la elimu ni disaster,wengi wana elimu za ujanja ujanja,kuanzia mwenyekiti mbowe,makamu mwenyekiti mzee said arfi,katibu slaa,katibu muenezi mnyika na wengine kibao,pale juu ni naibu katibu mkuu tu ndio elimu yake inaeleweka,huwa nawashangaa vinega humu wanavyopenda kuuliza uliza CV za watu lakini za viongozi wao wanasahau kuziulizia,wanaanzisha vita ya mawe wakati wao wanaishi kwenye nyumba ya vioo
 

Hii inanikumbusha ile kesi ya kupinga matokeo ya ubunge wa temeke kipindi kile nccr ikiwa ndio chama kikuu cha upinzani nchini ambapo ccm walishinda jimbo hilo kupitia ramadhani kihiyo,nccr kupitia wakili wao wakati huo masumbuko lamwai wakamkatia rufaa kwamba bwana kihiyo hakwenda shule kama alivyodai bali alighushi vyeti,na kweli ilikua hivyo kihiyo akautema ubunge ,then uluporudiwa nccr wakamsimamisha mwenyekiti wao augustine mrema akashinda na msamiati wa kumuita kihiyo mtu asieosoma ukawa umezaliwa rasmi mpaka leo tuna vihiyo wengi akiwemo huyu Lema,sugu,mbowe etc
 
huyu jamaa aujui kwamba viongozi wa ccm ndiyo wanaongoza kwa kua "vihiyo" jina ambalo lilitokana na KIHIYO WA CCM.
We jamaa jipange vizuri..
elimu siyo kitu.jamani mwenye kuweza atafute profile ya viongozi vihiyo wa ccm...
 
kuna kitu kinaitwa "kejeli" ndiyo ametumia huyu ndugu ezan,usimuelewe vibaya mkuu.
 
anafanya biashara gani? pale mwanza karibu na uwanja wa ccm chirumba pale anapouza bia makontena kwa makontena kwa siku vipi? ana uhusiano gani na ccm? inakuwaje chadema akawa tenant wa ccm, hotel gani ile anayomiliki mwanza, nikumbusheni tafadhali...
 
kwanini wanamhisi kama ni jambazi wa magari wa zamani? halafu yeye hajajisafisha? pia, mbona yeye ni mtu wa fujo sana kuliko chadema wengine? maneno yake siku zote ni makali, si ajifunze kwa mbowe? vita ya ufisadi haipiganwi hivyo, haitakiwi kwenda kwa violence kila approach, wakati mwingine unatakiwa uwe na timing, kuna wakati wa fujo na wakati wa amani, yeye hata akiongea tu hapa utajua kuwa huyu jamaa si mtu mzuri, chadema kwanini wasimkalishe kikao wampe ushauri nasaha?..unajua anachafua chadema, kwamba cdm ni watu wa fujo kwasababu ya watu kama hawa? kwanini asishindane kwa hoja kama Dr.slaa na mbowe etc, walau hata zito na mnyika tu, ila ukimtaja lema, huwa simwelewi kabisa. kama ananisikia naomba ajirekebishe. halafu ajisafishe ili tuelewe cv yake vizuri na mali hizo alizo nazo alizipataje, na ile issue ya yeye na zombe, ni kweli?
 
aliishia form four alipata div iv point 33
anavuta sana bangi
ni tapeli wa mjini/mishen town
 

kaka sio kila mali inayomilikiwa na mtu mwenyejina la Lema ni ya Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini. Kwataarifa yako Lema hausiki hata chembe na Villapark night club ya kirumba Mwanza. Yule nilema mwingine kabisa ambae makazi yake siku zote ni Mwanza.
 

Asante sana kwa kutujuza ubarikiwe
 

Na je mchungaji mtikila naye utamwitaje maana nae alikuwa na kesi kibao lakini hujamtaja,acha unafiki wewe utafikiri unatumia masaburi kuandikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…