Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Kusikia hausikii hata picha uoni.

Pitia orodha ya wanafunzi waliomaliza Diploma 2008 Cambridge International College kama utalikuta jina la Lema.

Katoe taarifa Cambridge na sio huku kama imekuuma sana. Halafu huna kazi za kufanya na hujui unapoteza muda kwani si mara ya kwanza kuleta uzi kama huu hapa jamvini na majibu yake ni kama unayoyapata kutoka kwa members
 
Kumbe amesoma kolila

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wanasiasa kuweni wa kweli kudanganya wananchi siyo vizuri.
 
Uchafu wako peleka damping wacha kuweweseka dogo njoo uwekwe sawa,au wewe ndo mlevi alofanyiwa kitu mbaya na mlevi mwenzake Mbagala?
 
Katoe taarifa Cambridge na sio huku kama imekuuma sana. Halafu huna kazi za kufanya na hujui unapoteza muda kwani si mara ya kwanza kuleta uzi kama huu hapa jamvini na majibu yake ni kama unayoyapata kutoka kwa members

Mbona umepanic kamanda hii ni forum huru, kama umekasirika pole sana.
 
kusikia hausikii hata picha uoni.

Pitia orodha ya wanafunzi waliomaliza diploma 2008 cambridge international college kama utalikuta jina la lema.
nakumbuka uzi huu uliuleta kipindi fulani na sasa umeurejesha ...umeishiwa
 
we Kamanda unampenda Kamanda Lema kuliko anavopendwa na mke wake.
 
Mkuu kuweka CV ya Lema ndiyo kumchafua.

hebu weka cv ya yule -------- aliesema wapigwe tu nasikia ni usalama wa taifa... ndo maana ni mkatili sana mzee wa liwalo na liwe
 
Kusikia hausikii hata picha uoni.

Pitia orodha ya wanafunzi waliomaliza Diploma 2008 Cambridge International College kama utalikuta jina la Lema.

kaka hili ni jukwaa la GT,tuwe serious.Weka hiyo orodha HAPA tuone tuwe na hitimisho la pamoja.Vinginevyo utaonekana unapiga porojo.
 
Kafanya kazi kubwa ya kanisa jamaa huyu. Kumbe ndio maana ni mdini sana.
Cv imekaa kiujanjaujanja sana. Yaani mh huyu kaungaunga sana!!
Hivi ile kazi ya kuiba magari alianza akiwa na vyeo vyake hivyo au ni tuhuma tu hakuna ukweli Ritz
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh... Lema nae alikuwa CEO? teh teh teh!

nyie ndo wehu kabisa ivi kuna alokuwa na cv kali kama ya dr daud balali?

aya ona kaishia kuwa kiongoz wa wez, mafisadi na ata amejisingizia kafa wkt yuko marekani anatanua na machangudoa wa kizungu na kilatino
 
Lema anafahamika kuwa ni jambazi mzoefu ingawa hajaandika kwenye CV yake.
 
Wewe jar chako unataka kuisaidia hi nchi unaweza? au ndoumburura? na km unadai kuwa cv c k2 kwa nn huwa oajtapa tapa et wanasheria na mnatetea nchi, je waweza tetea nchi bla elimu? au huna la kuxema! klaza!
 
Cheki na ya maji marefu..CCM
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Stephen[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Hilary[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Ngonyani[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Korogwe Vijijini[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]P.O. Box 60, Korogwe, Tanga[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 784 459090/+255 712 006666[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]sngonyani@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]25 May 1956[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Kwamndolwa Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member of NEC[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Regional Economic Secretary[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Economic Secretary, Korogwe rural[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…