Wasifu wa Imani Kajula, CEO wa Simba SC

Wasifu wa Imani Kajula, CEO wa Simba SC

Ndio ana CV nzuri ya Mambo ya masoko, management na planning lakini Kuna story zake za zamani za chini chini zilisemwa Sana miaka Fulani .sidhani kama Simba wamefanya vetting ipasavyo...
 
Ebu wekapo yako mkuu
Nimemuelewa jamaa aliposema CV ni nyepesi kwa hoja moja, mleta uzi "ametishia" kwa kuaminisha kuwa bwana C.E.O amefanya kazi katika makampuni mbali mbali na mabenki ya ndani na nje, katika kuorodhesha hizo bank zote ni zetu hapa hapa.
Kajula ni mbobevu wa masuala ya Masoko na Mawasiliano na amaefanya kazi na Makampuni mbalimbali na mabenki ndani ya nje ya nchi✍️

Miongoni mwa kazi alizofanya mpaka sasa✍️

-Mkuu wa kitengo cha masoko na Mawasiliano NMB (2006-2013)✍️

-Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Benki ya Posta(2003-2006)✍️

-Meneja Masoko wa CRDB(1999-2003
 
Karibu msimbazi kabla hajaja msimbazi alikuwa CEO WA BARCELONA akawa naibu CEO pale REAL MADRID wapinzan kazi wanayo soon tutamuona KIBU BARCELONA kama unabisha uliza samata kama hajacheza Uefa chini ya mikono ya huyu mwamba KAJUNA
 
Sawa mkuu, pamoja na CV hiyo huyu Bwaa mkubwa atachacheza namba ngapi pale Simba ili ichukue makombe naomba kufahamu.
CEO wa Yanga huwa anacheza number ngapi uwanjani?
 
Ngoja kwanza

Simba hawakuona haja ya kuwa na mtu ambaye ni mbobezi kwenye masuala ya mpira zaidi?
Kwa hiyo wangemuajiri Zamoyoni Mogela? Jamani kama hamjui majukumu ya CEO mnyamaze kimya
 
Miezi sita michache sana, hata ofisi atakua hajaijua.
 
Jamaa ni mzuri sana. Pia, Amekuwa akiratibu marathon kadhaa hapa nchini na zimekuwa zikifanya poa sana.
 
Yani simba imekua kama duka la reja reja, huyu nae kapewa mkataba wa miezi sita?
JF ina wajinga wajuaji. Ona huyu, anadhani Kajula ni mchezaji kwa hiyo apewe miaka. Huo ni muda wa matazamio uki perform unaongezewa. Simba ina strategic plan, kinachotafutwa ni mtu wa kuitekeleza.
 
IMANI KAJULA NDIYE CEO WETU MPYA

uongozi wa Klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri Ndugu Imani Kajula kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) kwa mkataba wa miezi sita[emoji3578]

Kajula anachukua nafasi iliyoachwa na Barbara Gonzalez ambaye alijiuzulu nafasi hiyo Desemba 10/2022[emoji3578]

Kajula ni Mzoefu kwenye msuala ya uongozi wa mpira kwani alikuwepo kwenye kamati ya Maandalizi Michuano ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 iliyofanyika nchini mwaka 2019[emoji3578]

Kabla ya kujiunga nasi kajula alikuwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Masoko na Mawasiliano ya EAG Group tangu 2013 mpaka sasa[emoji3578]

Kajula ni mbobevu wa masuala ya Masoko na Mawasiliano na amaefanya kazi na Makampuni mbalimbali na mabenki ndani ya nje ya nchi[emoji3578]

Miongoni mwa kazi alizofanya mpaka sasa[emoji3578]

-Mkuu wa kitengo cha masoko na Mawasiliano NMB (2006-2013)[emoji3578]

-Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Benki ya Posta(2003-2006)[emoji3578]

-Meneja Masoko wa CRDB(1999-2003)[emoji3578]

Akiwa EAG Group Kajula alikuwa sehemu ya Maandalizi ya Wiki Ya Simba Mpaka kilele chake (Simba Day) ambapo Kampuni hiyo ndiyo ilitengeneza mitandao ya kijamii ya Klabu[emoji123]
Binafsi huwa sioni kazi ya hawa jamaa. Simba wana tatzo la kuwa na wachezaji wa kawaida, badala la kusajili wachezaji makini wao wana deal na vitu vya hovyo hovyo tu
 
CEO ni decision maker. Kwahiyo CEO mzuri ni yule Anaye Fanya Maamuzi. Hata Barba Mlisema Sanaaa Lakini Ndio Aliye Fanya Hadi Leo GSM sio Mdhamini Mwenza Wa Ligi Kuu Tanzania Bara…. Ndio CEO aliye Fanya Simba Kwenda Kushiriki Super League Ya CAF, Ndio CEO aliye Fanya Al Hilal , TP Mazembe, Mamelod, na Timu zingine Zikija Tanzania Zijione zipo Nyumbani.

Ndio CEO aliye Wakataa Sport Pesa na Leo Yupo na M-Bet kwa Dau kubwa… Japo Barba Alisemwa Hawezi na Kawekwa na Mo

Hata Huyu Ndio mtasema sana lakini ndio Atakuja Kufanya Makubwa. kuwa CEO wa Simba / Yanga Unahitaji Roho ngumu tuuu ya kupambana na Uchawi na Mamuluki kwenye Taasisi Basi
 
Back
Top Bottom