Wasifu wa Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi au Klynn

[emoji2][emoji1] tunaomboleza jamani kuchekeshana sio vizuri
 
We jamaa unajua kupaka dah
 
Angekua na kiu ya elimu angesoma baada ya kuwa mrs shuga daddy
 
I'll take no side but, if Mengi was my close one, i would hate that lady with all my heart and bone marrow!

But if that lady was my close one, jackpot!

If you know what i mean!

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Hayo ni matatizo yako Mkuu, acha wivu wakike. Mbona mashabiki wake tumejaa tele? Tunafuatilia kila kitu chake. Jiangalie utakuwa mchawi siku si nyingi.

Stop lies mzee

Umesikiliza wimbo lini toka 2003?

Acha unafiki!

Halafu it is funny mtu akiongea FACT hua mnamuita an wivu....?

Ngoja niseme uongo basi ili nisiwe na wivu!

Afrika tuna unafiki aisee....kiwango cha SGR!
 
Definate jelousness.
 
Kwa comment hii uliyechukia ni wewe, Andamana... Mtoto ndo huyo kaukwaa utajiri.
 
Lakini wanaume haya mnayatafuta wenyewe. Yule baba alikuwa na ndoa ya kuheshimika na watoto wakubwa. Sasa haya ya kwenda kuanzisha new era family na kuanza kulea watoto wa kindergarten age haya.
 
Kwa upumbavu huu unajiita mwanaume!!??? Kwenye maandiko yako namuona mwanamke mnuka pichu wa tandika, nikikuhurumia sana namuona James Delicious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…