Wasifu wa Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi au Klynn

Wasifu wa Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi au Klynn

mama wa manyovu kigoma . ni watusi by nature .
Basi nchi hii haina wenyeji maana kila mtu maarufu lazima mseme wa nje!!!!
Manyovu ipo Kigoma na watu wa Manyovu ni waha lkn wanawake ni warembo mno.
Manyovu ni mpakani na Burundi na ni 45km kutoka kigoma mjini.
Jack ni Muha na ndugu zake waha wapo wengi tu kigoma.
 
Watu mnaongea kwa uchungu utafikiri mna undugu nao..ebu mumuache dada wa watu ndo kashapata utajiri anaeumia ajinyonge afe

Hakuna mwenye uchungu,watu wana-state cha kweli kwamba dada kapata utajiri kwa njia fulani hivi!

Na sio vibaya hata kidogo...

Tulikua tunaweka record sawa tu,sasa watu wamedhani eti watu wana chuki.....

Hakuna!
 
Basi nchi hii haina wenyeji maana kila mtu maarufu lazima mseme wa nje!!!!
Manyovu ipo Kigoma na watu wa Manyovu ni waha lkn wanawake ni warembo mno.
Manyovu ni mpakani na Burundi na ni 45km kutoka kigoma mjini.
Jack ni Muha na ndugu zake waha wapo wengi tu kigoma.

nawajua vizuri sisemi kwa ubaya .. dada yake alikuwa anaishi kwangu, na sasa ni marehemu . watusi wa manyovu wanasemekana ni waha lakini kama ujuavyo watu wa mipakani tena. nafikiri hata dereva wa mkuu wa mkuu wa mkoa wa kigoma ni ndugu yake pia . ndugu emili .
 
Mimi nakuzungumzia wewe sho.ga baada ya kuona unaleta mada za kike! Kumzungumzia mwanamke ni zaidi ya uchoko, ni uchoko+
Sikuwa na wala sina time kabisa ya kumuongelea Mengi wala Jaque lkn punga wewe siwezi kukuacha bure, nimekupa dawa yako.
Sho.ga+

Mimi nakuona kama wewe ndiye punga
 
Hakuna mwenye uchungu,watu wana-state cha kweli kwamba dada kapata utajiri kwa njia fulani hivi!

Na sio vibaya hata kidogo...

Tulikua tunaweka record sawa tu,sasa watu wamedhani eti watu wana chuki.....

Hakuna!
Chuki tu na umasikini unakusumbua.
Sho.ga+
Punga we!
 
nawajua vizuri sisemi kwa ubaya .. dada yake alikuwa anaishi kwangu, na sasa ni marehemu . watusi wa manyovu wanasemekana ni waha lakini kama ujuavyo watu wa mipakani tena. nafikiri hata dereva wa mkuu wa mkuu wa mkoa wa kigoma ni ndugu yake pia . ndugu emili .
Umesema ni wa manyovu kwanini uwaite watusi!!??? Manyovu ni Rwanda au Burundi!!!?? Mbona Masai na Wajaruo waishio Tanzania hamuwaiti Wakenya!!?
Acha chuki.
 
Ntuyabaliwe ni jina la kiha labda wahaya walitaka kutembelea nyota ya huyo Dada maana kwa sifa za kijinga wale jamaa hawajambo
Walitaka sifa kwa Jacky kuwa Muhaya au Muhaya kuwa mke wa Mengi? Sometimes mnakashifu Watu bila hata hoja za msingi. Watu wanatazama tu majina, yanaingiliana baadhi ya majina ya Kiha, Kihangaza, Kizinza, Kikerewe au Kijita na Wahaya
 
Back
Top Bottom