Wasifu wa Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi au Klynn

Du umri wake na muenekano wake haundani mtoto bado mbichi kama ana miaka 20.mwaaaa jack
 
mh hali ya hewa imeshachafuka kuna vinywa havijapigishwa mswaki
 
Ungeozea alifanya kazi ktk kampuni ya kamali ya lotto Olympic
Ilikuwa inamilikiwa na mbulgaria mmoja alikuwa mtu mmja matata sana?
Ngoja niishie hpo......

Ova
 
Yaani mtoto wa dr bingwa aishie la saba B, au sio mtoto halali wa Doctor
Ina maana hakusoma tena baada ya kuhitimu darasa la saba?
Kidhungu alijifunzia wapi kwani kimenyoooka hasa katika uandishi kwa IG au google search.
Atakuwa alisoma zaidi ya darasa la Saba mweh!
ha ha ha ha ha kumbe elimu yake lasaba B
Alisoma msingi na sekondari Forodhani.
Hapana..mi naona ana damu ya kizungu huyu..
Hata nywele zake ni laini kama za wazungu
Mama yake alikuwa chotara.
Angekua na kiu ya elimu angesoma baada ya kuwa mrs shuga daddy
Jacky hakuwa anapenda sana shule.
Baba yake alikuwa ni muha hasa.
 
"...Mama nurse baba ni Daktari bingwa ..."

( Matokeo yake nini..... )

Kuna profile yake nilipitia huko youtube inayoelezea kuwa wazazi wake walifariki akiwa young so huenda ndipo tatizo la ki-elimu lilipoanzia. Maana haikuelezwa kuwa ni mwaka gai wazazi wake walifariki kwa hiyo K-Lyn alikuwa ni yatima.
 

kuna wanaompenda pia usisahau!!

before Mengi alikuwa na maisha yake ya kitanzania kabisa


You sound real, ila nyuma ya pazia na wewe unamchuki huyu binti

kakufanya nini??...

fenicha zake watu mbona wananunua tu?
 
Hakuna mwenye uchungu,watu wana-state cha kweli kwamba dada kapata utajiri kwa njia fulani hivi!

Na sio vibaya hata kidogo...

Tulikua tunaweka record sawa tu,sasa watu wamedhani eti watu wana chuki.....

Hakuna!

msingi wa hoja zako za jack ni hapa kumbe

kama kaua kwa makusudi na alitembea na yule mlebanon, diamond n.k anastahili kuanikwa vibaya sana
 
Unatuletea cv yake iweje mkuu

Au kutuaminisha kwamba hakua gold digger kwa mzee mengi??
 
Man, why would you feel sorry for someone with six digit bank account?

If she could proudly ride that old man's dick and kiss him in public, do you think she's gonna give two shits about what people think about her?

I bet she won't!
Fact
 
Dada alivo na mambo ya kizungu nlidhani ni msomi na degree yake..
Shule aliishia la saba au?
Hayo mambo ya kizungu hua ni mambo gani kwani?
Coz naona ni kama unasema inahitajika kua na degree ili kua na hayo mambo ya kizungu?
Yaani wa la 7 hawezi kua na hayo mambo ya kizungu? ni mambo gani hayo?

Nauliza tu ili nami nijue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…